Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Nimeona mara 2 Gwajima akihubiri mambo yafuatatayo:
1. CORONA virus inatokana na 5G technology (hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi).
2. Kwamba DRC wamesha anza kudingwa sindano za chanjo ya corona (hawajaanza na hakuna nchi ambayo imesha anza kutoa chanjo za corona zaidi ya maandalizo na test).
Tungeomba Gwajima aheshimu maelekezo ya kitaalam kuliko kuwadanganya wananchi maskini ili kupata sadaka zao.
Pia, tunaomba serikali ili angalie jambo hii kwa watu kama Gwajima ambao wanatumia nafasi zao za kiroho kupotosha uhalisia wa ugonjwa wa corona.
1. CORONA virus inatokana na 5G technology (hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi).
2. Kwamba DRC wamesha anza kudingwa sindano za chanjo ya corona (hawajaanza na hakuna nchi ambayo imesha anza kutoa chanjo za corona zaidi ya maandalizo na test).
Tungeomba Gwajima aheshimu maelekezo ya kitaalam kuliko kuwadanganya wananchi maskini ili kupata sadaka zao.
Pia, tunaomba serikali ili angalie jambo hii kwa watu kama Gwajima ambao wanatumia nafasi zao za kiroho kupotosha uhalisia wa ugonjwa wa corona.