Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,332
- 10,947
Munajitekenya kisha munacheka wenyewe.
Kuna mzee hapa mtaani kwangu aliniambia kua wapinzani hawana sera tena zaidi ya kujifariji na Corona.
Jizushieni vifo kama haitoshi nendeni nchi za nje mukachanjwe (kumbuka kipimo kime badilika, kwa sasa ni mwendo wa kuchonyoana sehem za haja kubwa) haitoshi jifungieni ndani, tuacheni sisi wananchi tupige kazi tutunze kaya zetu, bila kusahau kulijenga taifa letu Tanzania.
Kelele za sijui nani kafa! tumezichoka.
Kafa Baba yangu itakua huyo pastor?
Asife ye nani?
Ama yeye ndio wakwanza?
Leo watu wangapi wanakufa/ watakufa/ wamekufa kwa siku ya leo?
Kuna kipya hapo?
Kuna mzee hapa mtaani kwangu aliniambia kua wapinzani hawana sera tena zaidi ya kujifariji na Corona.
Jizushieni vifo kama haitoshi nendeni nchi za nje mukachanjwe (kumbuka kipimo kime badilika, kwa sasa ni mwendo wa kuchonyoana sehem za haja kubwa) haitoshi jifungieni ndani, tuacheni sisi wananchi tupige kazi tutunze kaya zetu, bila kusahau kulijenga taifa letu Tanzania.
Kelele za sijui nani kafa! tumezichoka.
Kafa Baba yangu itakua huyo pastor?
Asife ye nani?
Ama yeye ndio wakwanza?
Leo watu wangapi wanakufa/ watakufa/ wamekufa kwa siku ya leo?
Kuna kipya hapo?