Kwa hiyo ni dada na mama yake poleni.Kadudu haka kamezidi, juzi tumetoka kuzika mtoto( Ni dada graduate alikuwa anahangaika apate ajira) Leo mama kavuta
Mimi ninaomba abaki salama akajibu mashtaka ICC. Ninaomba Mungu amlinde katika hili.Kuna mutu natamani afikwe na changamoto ya upumuaji
Sidhani kama ICC itakuwepo! ni porojo tuMimi ninaomba abaki salama akajibu mashtaka ICC. Ninaomba Mungu amlinde katika hili.
Niko Soko Matola, Mtaa wa Wageni, kwenye maghorofa ya NHC yanatazamana na Kiwanja Ngoma. Wee uko sehemu gani nikufuate fastaaaaa?Mi nipo Mbeya. Mbeya ipi unaongelea? We kaka buji mzushi sana weeee kama Matola
Mama Konga kafariki Jana, hebu ulizia nini kimeipata familia yake siku hizi tano?Mi nipo Mbeya. Mbeya ipi unaongelea? We kaka buji mzushi sana weeee kama Matola
Mi nipo Uhindini hapa karibu na Mbeya Peak kwenye jengo la Airtel. Unamjua Lusajo Mwakoba?Niko Soko Matola, Mtaa wa Wageni, kwenye maghorofa ya NHC yanatazamana na Kiwanja Ngoma. Wee uko sehemu gani nikufuate fastaaaaa?
Is it the challenges of breathing? 'Anti English' is the one to be blame.Kadudu haka kamezidi, juzi tumetoka kuzika mtoto( Ni dada graduate alikuwa anahangaika apate ajira) Leo mama kavuta
NdioMi nipo Uhindini hapa karibu na Mbeya Peak kwenye jengo la Airtel. Unamjua Lusajo Mwakoba?
Lusajo Mwakoba anakaa Jacaranda, kasoma Azimio, kisha sekondari Meta. Ndiye anaendesha Mbeya Peak kwa sasaMi nipo Uhindini hapa karibu na Mbeya Peak kwenye jengo la Airtel. Unamjua Lusajo Mwakoba?