Password za simu zinavyotunza na kurefusha ndoa za watu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Kama kuna kitu kinachoreusha ndoa za watu ziendelee kushine ukiacha mapenzi ya Mungu kwangu mimi upendo na 'password' za simu zimesaidia sana kurefusha ndoa zilizopo leo hii kuwa hai.

Else tungekuwa tukisuluhisha kila siku,simu nyingi zimekuwa na 'password' sio tu kwa ajili ya Mpesa ama Tigopesa vingine ni pamoja na mahojiano yasiyorasmi ama sms isizorasmi kwa vijana na wazee wasioweza kuridhika na mapenzi ya mke mmoja.


Mpaka sasa huwa naamini kama simu zisingekuwa na 'password' kwakweli ndoa nyingi zingekuwa ICU ama zinapumua ama zinasubiri Dk kuchomoa kilekifaa chao wakazike.

Tufike wakati wakuheshimu nakukubaliana na hilo ingawa sio kila simu yenye 'password' zinaficha meseji zamapenzi zingine zinaficha baadhi ya maliza mhusika zisijulikane kwa mkewe rasmi.

All and all chochote ufanyachoo jua

*"""""UKIMWI UNAUA*****"
 
Kuna rafiki yangu tumeshibana siku hyo alikuw na mpenz wake yej alikuwa kavaa dela mi skirt nyeupe ile naenda toilet nkajikuta Nyuma na doa nkamtext rafk yangu `naomba mtandio wako nimejichaeua skirt' akajibu POLE NJOo tuangalie namna ya kulitatua,,,,, nikapata hasira nkamwambia ` we chiz nin mi damu
zimenichafua ntatokaje' hakujibu kitu baada y rafk yangu kuona sitoki uani akaamua kunifata Nilmvamia nakuuchukua mtandio wa dela yake nakumwambia inamaana hujui kinachoendelea au???? akasema hajui nkamwambia msg si nimekutumia inamaana hujazsoma?,,,, kujicheki kiganjan kumbe simu yake anayo mpenziwe na msg alikuw akinijibu yule SHEM,,,, Alipo nambia ivo nikamwambia sitaki kuonana nae tena maana ntamtukana bure,,,,, ntakuleteaga mtandio wako!!!!!! ukwel kushikiana simu adi kujimilikisha sipendag,,,, inamaana ata napo mwombaga hela anikope huwa ananijibu SINAA!!!! alikuw ni yeye,,, inaboa sana.
 
Hizi ndoa hizi! Kuoa/Kuolewa imekuwa kama kamali. kwenye kamali wanaoliwa ni wengi kuliko wanaokula.
 
Kuna rafiki yangu tumeshibana siku hyo alikuw na mpenz wake yej alikuwa kavaa dela mi skirt nyeupe ile naenda toilet nkajikuta Nyuma na doa nkamtext rafk yangu `naomba mtandio wako nimejichaeua skirt' akajibu POLE NJOo tuangalie namna ya kulitatua,,,,, nikapata hasira nkamwambia ` we chiz nin mi damu
zimenichafua ntatokaje' hakujibu kitu baada y rafk yangu kuona sitoki uani akaamua kunifata Nilmvamia nakuuchukua mtandio wa dela yake nakumwambia inamaana hujui kinachoendelea au???? akasema hajui nkamwambia msg si nimekutumia inamaana hujazsoma?,,,, kujicheki kiganjan kumbe simu yake anayo mpenziwe na msg alikuw akinijibu yule SHEM,,,, Alipo nambia ivo nikamwambia sitaki kuonana nae tena maana ntamtukana bure,,,,, ntakuleteaga mtandio wako!!!!!! ukwel kushikiana simu adi kujimilikisha sipendag,,,, inamaana ata napo mwombaga hela anikope huwa ananijibu SINAA!!!! alikuw ni yeye,,, inaboa sana.
Alikuwa sio muungwana huyo jamaa. Pole!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom