Password!Kwa nini?

Password!Kwa nini?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,902
Reaction score
9,323
Hivi kama tunakuwa kwenye mahusiano inamaana tuna aminiana lakini kuna baadhi yetu huwa tunakuwa na jambo hili la Password kwenye email zetu simu zetu!

Kwanini hatuziachi wazi?

Mbona wenzetu wanawake wapo wazi sana katika hili?

Sisi wanaume nini kinatusababisha kuwa na Password kwenye simu?

Nilimsikiliza Mbasha katika kipindi sha Spora show alisema Nanukuu"PASSWORD ZETU NIMOJA SIMU TUNATUMIA SIMU MOJA"

Je wewe katika mahusiano yako unaweza?

Au tuseme Technology ndo inatukwaza!
 
simu ni personal issue, kwani mkeo au mpenzi wako kama wapambe wa kikwete wamemfata na kumwambia mzee amekuona somewhere ametutuma namba yako anahitaji kuongea na wewe, je huoni ni sifa na ufahari kuchapiwa na rais?

simu ni privacy ya mtu na tuheshimu mawasiliano ya wengine bila kujali ni mazuri au mabaya.
 
kwani mtu kutafuta password anatafuta nn?kama humuamini yanini uhusiano huo.kuna mambo hata mama mzazi hapaswi kufahamu ukiwa mwanaume unakufa nayo
 
Kuna mambo mengine ni personal unatakiwa kuyajua mwenyewe
 
sa Flora mawasiliano na mzee wa Hummer alikuwa

anayafanyia wapi kama sim walikua wanatumia moja..........

baada ya huu mtengano sijui nani kabaki na simu sasa

Siku zote watu kwenye interview wanaficha ukweli. Umeuliza maswali ya msingi sana. Eti simu moja. Mmoja akisafiri ilikuwa inabaki na nani?
 
Out of topic naomba msaada nataka kubadilisha user name yangu ya JF nifanyeje?
 
Ni mitazamo tu, kama nimeweza toa pasiwedi ya ATMa jf, sioni ni wapi nashindwa.
 
Hapa naona mnachanganya mambo ya kimwili, akili na kiroho. Uhusiano wowote kama shetani atakuwa ameingilia yeyote akapata pepo, kama ni la ngono lazima achepuke, kama ni la wizi lazima aibe n.k. Hayo mambo ya password na mengine hayatasaidia kitu. Hofu ya Mungu ndiyo kitu cha msingi zaidi ya yote. Flora na Emmanuel Mbasha wanahitaji kufanyiwa maombi na pia kama wana laana wafanyiwe maombi ya kuvunja laana walioachiwa vinginevyo mwisho wao ni mbaya sana.
 
Hivi kama tunakuwa kwenye mahusiano inamaana tuna aminiana lakini kuna baadhi yetu huwa tunakuwa na jambo hili la Password kwenye email zetu simu zetu!

Kwanini hatuziachi wazi?

Mbona wenzetu wanawake wapo wazi sana katika hili?

Sisi wanaume nini kinatusababisha kuwa na Password kwenye simu?

Nilimsikiliza Mbasha katika kipindi sha Spora show alisema Nanukuu"PASSWORD ZETU NIMOJA SIMU TUNATUMIA SIMU MOJA"

Je wewe katika mahusiano yako unaweza?

Au tuseme Technology ndo inatukwaza!

Password for my mail is not part & parcel of ndoa/ndoano,for the case of my phone ,it has no password and its free to call and receive any call & sms subject to my absent/sickness
 
Mimi bebi wangu, piko wa moyo wangu Matola kaweka. Password, ila i dont fret at all! Sitishiki nayo kabisaaa!

WHY? BCAUSE I TRUST HIM, AND I TRUST ME THAT HE WAS NOT A MISTAKE! Mambo mengine private kama balance za Mpesa, na bank kwa wale wa mobile banking, maugomvi ya kifamilia, bosi anakipa za uso, your partner doesnt have to know!
 
Last edited by a moderator:
Mimi bebi wangu, piko wa moyo wangu Matola kaweka. Password, ila i dont fret at all! Sitishiki nayo kabisaaa!

WHY? BCAUSE I TRUST HIM, AND I TRUST ME THAT HE WAS NOT A MISTAKE! Mambo mengine private kama balance za Mpesa, na bank kwa wale wa mobile banking, maugomvi ya kifamilia, bosi anakipa za uso, your partner doesnt have to know!

Naona yamekolea...
 
Last edited by a moderator:
password nachukua zoote ila kama huna moyo wa chuma achana nazo, hii wanaiweza wale wa team kufa na kuzikana no mata wot
 
Back
Top Bottom