Password!Kwa nini?

Password!Kwa nini?

Mimi bebi wangu, piko wa moyo wangu Matola kaweka. Password, ila i dont fret at all! Sitishiki nayo kabisaaa!

WHY? BCAUSE I TRUST HIM, AND I TRUST ME THAT HE WAS NOT A MISTAKE! Mambo mengine private kama balance za Mpesa, na bank kwa wale wa mobile banking, maugomvi ya kifamilia, bosi anakipa za uso, your partner doesnt have to know!

jifunze kusahau habari za boss, am the boss and you are my right hand and assistant. incase niko mgonjwa hakuna kitakachosimama.
 
Last edited by a moderator:
jiandae kuja kulimwaga huno kwenye wedding party, hapa mambo ya uchumba sugu hayana nafasi.

hahaha uchumba sugu, ndo ukaombe muongozo haraka, kuna watu wamekaa pembeni wanasubiri ukosee tu wapindue jahazi, me mwenyewe mmoja wao natamani kujua bwana shemeji una nini hadi mtu kasahau habari za mabosi
 
kila mtu na simu yake babuuu presha sitaki mimi!!
 
si kwa wapenzi tu pia kuna watu wana viherehere sana akishika simu mpaka aanze kupekuapekua weee ndo aridhike hao pasiwedi zinawahusu % percent.
 
Mimi bebi wangu, piko wa moyo wangu Matola kaweka. Password, ila i dont fret at all! Sitishiki nayo kabisaaa!

WHY? BCAUSE I TRUST HIM, AND I TRUST ME THAT HE WAS NOT A MISTAKE! Mambo mengine private kama balance za Mpesa, na bank kwa wale wa mobile banking, maugomvi ya kifamilia, bosi anakipa za uso, your partner doesnt have to know!
nani? matola huyuhu wa JF au? haki ya nani kuna watu wana bahati za mtende
 
jifunze kusahau habari za boss, am the boss and you are my right hand and assistant. incase niko mgonjwa hakuna kitakachosimama.
Najisahau kama nimepanda cheo, nimekuwa muke ya ENTREPRENEUR, mambo ya my piko ndo unakuwa ze boss wangu, jioni we count OUR/YOUR money! Nimezoea ku husttle na kubobea kwenye INTREPRENEURSHIP fullfeeling other peoples dreams n living others peoples legacys.
But i am comming along beibi! Kidogo kidogo!
 
nani? matola huyuhu wa JF au? haki ya nani kuna watu wana bahati za mtende

life is unpredictable, ndio mtazidi kushangaa choice za wanawake wanahitaji zaidi ya kile wengi mnachodhani. nadhani kubwa la maadui kuna somo kubwa amewapa.
 
hahaha uchumba sugu, ndo ukaombe muongozo haraka, kuna watu wamekaa pembeni wanasubiri ukosee tu wapindue jahazi, me mwenyewe mmoja wao natamani kujua bwana shemeji una nini hadi mtu kasahau habari za mabosi

watoto hawa wanatakakuchezea anga hizi za wakubwa haaaaaaa!!

yani wewe umpindue matola born here here? she is safe in my hands.
 
Kwani nenosiri liliwekwa kwa minajili gani?

Wake au waume wenye kiroho papo na kisebusebu ndio kutwa kuhangaika kujawa na kijiba kisa mumewe au mkewe kilongalonga chake kimewekwa nenosiri
 
Back
Top Bottom