Crap fom crapist.Immigration m na kazi mpaka kidume aondoke sijui mtagonga mara ngapi passport yake
polen sana sana najua shuruba zao wah wanapokuja na mapassport yao lakini mkomae
ndio hivyo tushauzwa tutafanyaje
ha ha ha jana mkewe kaenda "kunywa chai ya jioni" na ma first ladies hakika tumeuzwa, tutafanyaje! hukoo kuala lumpur wakati mumewe ana puyanga kula bata za malaysia kabla ya hapo walitokea sychelles, HATAAAAAREE
Passport yake ni special, kubwa kama kaunta buku