mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Jamani baasi imetosha. Pasco kaingia mitini!. shame on him. Lol
Ni heri angempongeza kama mwenyekiti wa chama chake cha ccm,sasa kama amempongeza kama rais,then ni sawa na kumtambua tu.Mngemshauri mwenyekiti wenu aseme kuwa anampongeza mwenyekiti wa ccm kwa kuamua kuitumia hoja ya cdm kwa manufaa ya Taifa.Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge. Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.
Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema. Kuongeza ni suala la kawaida sana. Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali. Hansard ikitoka nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako. Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
Ni heri angempongeza kama mwenyekiti wa chama chake cha ccm,sasa kama amempongeza kama rais,then ni sawa na kumtambua tu.Mngemshauri mwenyekiti wenu aseme kuwa anampongeza mwenyekiti wa ccm kwa kuamua kuitumia hoja ya cdm kwa manufaa ya Taifa.
Labda shida iko hapo Pasco aliposema cdm "Wamekubali yaishe"
Binafsi sikutazama bunge,so Pasco atuwekee vithibitisho vya kauli yake hiyo kama anaweza.Akifanya hivyo sioni sababu ya kuomba msamaha,certainly hana sababu ya kuomba msamaha kuhusu mwenyekiti wenu kumtambua JK kama Rais.
Asante Mh. regia kwa kumtaka pasco ajitokeze na kuondoa oungo wake.
Pamoja na shukurani zangi, Mh. nina concern moja ambayo wewe na Wah. wabunge wa CDM kama mnaweza kutufafanulia;
inakuwaje mnakubali kupoteza kodi za wapiga kura wenu kwa kutumia siku tano (5) !!!! kujadili hotuba ya JK ?? Kwa faida gani kwa nchi hii!!
Nilitegemea mngeonyesha mfano kwa kulitolea swala hili your dissatisfaction kama chama , badala ya kuungana na hao ccm kulijadili wholesale bila kuonyesha kukerwa na matumizi mabaya ya muda wa bunge, and hence pesa za wapiga kura. (of course kuhoji kwenu kusingebadilisha mjadala, lakini tungeona kwamba mmeonyesha ni yepi maswala muhimu ya kujadili)
Ni heri angempongeza kama mwenyekiti wa chama chake cha ccm,sasa kama amempongeza kama rais,then ni sawa na kumtambua tu.Mngemshauri mwenyekiti wenu aseme kuwa anampongeza mwenyekiti wa ccm kwa kuamua kuitumia hoja ya cdm kwa manufaa ya Taifa.
Labda shida iko hapo Pasco aliposema cdm "Wamekubali yaishe"
Binafsi sikutazama bunge,so Pasco atuwekee vithibitisho vya kauli yake hiyo kama anaweza.Akifanya hivyo sioni sababu ya kuomba msamaha,certainly hana sababu ya kuomba msamaha kuhusu mwenyekiti wenu kumtambua JK kama Rais.
kama mtu kama wewe MS, huelewi kwanini wanachangia hotuba basi Tanzania tunasafari ndefu sana...wewe fikiria hawamtambui Rais halafu wanachangia hotuba ya Rais unaelewa kweli mie naona maruweruwe tu..................
Hili BwaBwa Pasco halijaomba radhi tu?
Hili BwaBwa Pasco halijaomba radhi tu?
Mkuu Pasco.Heshima mbele.
Nimeamua kuanzisha thread hii kwa makusudi kabisa ila kuondoa upotoshaji ambao umeufanya hasa kwa wale ambao hawajatazama Bunge. Kuna watu wengi tu hawajatazama Bunge na hawatapata muda wa kutazama hivyo ukisema kuwa CHADEMA tumekubali yaishe na kumtambua Rais si kweli. Kwanza napenda ieleweke kuwa kumpongeza mtu ni tamaduni ya kawaida kabisa na pale mtu anapostahili pongezi basi hana budi kupongezwa.
Alichokisema Mbowe ni kumpongeza Rais kwa kukubali kuandaa Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Mpya pamoja na kwamba suala hili halikuwa kwenye ilani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM). Hayo mengine ya kumtambua hajasema. Kuongeza ni suala la kawaida sana. Na amesisitiza kuwa atapongeza kila zuri litakapofanywa iwe kwa chama au kwa serikali. Hansard ikitoka nitaweka hapa.
Naomba uiondoe thread yako. Ili usipotoshe na wengine pia.
Kutoka Mjengoni
Aluta Continua.
kama mtu kama wewe MS, huelewi kwanini wanachangia hotuba basi Tanzania tunasafari ndefu sana...
Heshima kwako Jmushi1.
Mkuu tuko pamoja KUB mheshimiwa F Mbowe alitakiwa ampongeze JK kama mwenyekiti wa CCM na akwepe kabisa kutaja cheo cha rais ningekuwa mtu wa kwanza kumshikia bango Pasco lakini kwa hili hastahili kabisa kuomba radhi.
Hili BwaBwa Pasco halijaomba radhi tu?
Heshima kwako Jmushi1.
Mkuu tuko pamoja KUB mheshimiwa F Mbowe alitakiwa ampongeze JK kama mwenyekiti wa CCM na akwepe kabisa kutaja cheo cha rais ningekuwa mtu wa kwanza kumshikia bango Pasco lakini kwa hili hastahili kabisa kuomba radhi.
Ni heri angempongeza kama mwenyekiti wa chama chake cha ccm,sasa kama amempongeza kama rais,then ni sawa na kumtambua tu.Mngemshauri mwenyekiti wenu aseme kuwa anampongeza mwenyekiti wa ccm kwa kuamua kuitumia hoja ya cdm kwa manufaa ya Taifa.
Labda shida iko hapo Pasco aliposema cdm "Wamekubali yaishe"
Binafsi sikutazama bunge,so Pasco atuwekee vithibitisho vya kauli yake hiyo kama anaweza.Akifanya hivyo sioni sababu ya kuomba msamaha,certainly hana sababu ya kuomba msamaha kuhusu mwenyekiti wenu kumtambua JK kama Rais.
Mkuu Ngongo,Heshima kwako Jmushi1.
Mkuu tuko pamoja KUB mheshimiwa F Mbowe alitakiwa ampongeze JK kama mwenyekiti wa CCM na akwepe kabisa kutaja cheo cha rais ningekuwa mtu wa kwanza kumshikia bango Pasco lakini kwa hili hastahili kabisa kuomba radhi.
Ifike wakati mfanye kama hivi pale mnapoona upotoshwaji unafanyika kwa vyama vingine hii itawasaidia kuonekana mnasimamia haki na nidhamu ya JF. Siku zote huwa nasisitiza umuhimu wa kuheshimiana na kutokuzuliana maneno. Jana kina HR na Kafulila walizuliwa kuwa wameangushwa kwenye kugombea uenyekiti wa PAC na POC, Sijakusikia wewe Regina wana Mkumbo kuwarekebisha watu na kuwaeleza ikweli mlinyamaza kimya. Ila mkiguswa nyie mtaanzisha thread za kuomba msamehewe. Uungwana ni kufanya yasio wachukiza wengine sio kuacha kufanywa yanayokuchukiza wewe tu.
Ahibal nasi matuhibul nafsik penda nafsi ya mwenzako kama unavyoipenda nafsi yako.
Shukran.