Alaa nilikuwa sijuwi kumbe mtu akiwa anasems kweli anakuwa mpinzani.Ni mpinzani huyu msanii
Mwenyezi Ambariki Kwa Kuwasema wanaoonewa.Ni paschal Cassian baada ya kutowa ule wimbo mtakamata wangapi,akatowa tena Freedom na sasa katowa Damu zinawalilia.pamoja ya kwamba amesema yupo hatarini ila hajakaa kimya.