MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
Kuna wakati Paschal Mayala aliutahadharisha umma wa Tanzania na dunia hususani wapenzi,mashabiki na wanachama wa CHADEMA kwa trend ili ya wabunge na madiwani kukihama chama hicho. Mwanzoni tulimwona kama mnoko aliyetumwa na wasiokipenda CHADEMA.
Sasa kwa yanayoendelea hasahasa baada ya kuisikiliza hotuba ya Lijuakali nimeanza kumwamini Paschal kwamba pengine aliona mbali kushinda wengi. Kina shida mahali ndani ya CHADEMA hata kama ukweli huu utakuwa mchungu.
Kiwango cha majonzi aliyoonyesha Lijuakali kinatupa somo flani. Lakini pia hotuba mbali mbali za Silinde zimekuwa na mambo ya kutafakarisha sana.
Kama wabunge vijana ambao hawakuwa na dalili za kuhama wala kusaliti chama wamefokia uamuzi wa kwenda kinyume na.msimamo wa chama na mwenyekiti Mbowe hili swala ni RESEARCHABLE.
Sasa kwa yanayoendelea hasahasa baada ya kuisikiliza hotuba ya Lijuakali nimeanza kumwamini Paschal kwamba pengine aliona mbali kushinda wengi. Kina shida mahali ndani ya CHADEMA hata kama ukweli huu utakuwa mchungu.
Kiwango cha majonzi aliyoonyesha Lijuakali kinatupa somo flani. Lakini pia hotuba mbali mbali za Silinde zimekuwa na mambo ya kutafakarisha sana.
Kama wabunge vijana ambao hawakuwa na dalili za kuhama wala kusaliti chama wamefokia uamuzi wa kwenda kinyume na.msimamo wa chama na mwenyekiti Mbowe hili swala ni RESEARCHABLE.