Pascal Mayalla kachanganyikiwa?

Pascal Mayalla kachanganyikiwa?

Sidhani. Nadhani anapitia changamoto za kawaida kabisa za kimaisha ambazo kila mtu anapitia ila kuhusu kuchanganyikiwa utakuwa haujatenda haki kufikiria kuwa amechanganyikiwa au kutengwa sio sahihi.

Mbona tupo nae hapa JF akiandika nyuzi na anajitahidi kuishi maisha yake very positive despite hali yake.

I think and believe the big brother is doing good and has his spirit on positive mode.
 
Wakuu, maandiko ya Pascal Mayalla hivi karibuni yanafanya nimtilie shaka, ni kama mtu aliyetengwa na anajaribu kujisogeza karibu na waliomtenga lakini wapi.

Napendekeza asaidiwe haraka iwezekanavyo.

P.
hongera mamlaka ya kudhibiti madawa ya kulevya nchini kwa kukunusuru gentleman, bila hivyo tungekukosa aise 🐒
 
Ninacho kiona humu, wengi hamna ujuzi wa kusoma between the lines, ndio maana mada za Paskali zinawatatiza kama sio kutozielewa kabisa.

Mfano, Kuna mada kaiandika nadhani juzi kama sio Jana, ukisoma comments za wachangiaji wengi, unabaini kuwa wameshindwa kabisa kung'amua alichomaanisha au kusudia katika ujumbe wake.
 
Ninacho kiona humu, wengi hamna ujuzi wa kusoma between the lines, ndio maana mada za Paskali zinawatatiza kama sio kutozielewa kabisa.

Mfano, Kuna mada kaiandika nadhani juzi kama sio Jana, ukisoma comments za wachangiaji wengi, unabaini kuwa wameshindwa kabisa kung'amua alichomaanisha au kusudia katika ujumbe wake.
Paskali ana ngata na kupulizaga 😄

Ova
 
Ninacho kiona humu, wengi hamna ujuzi wa kusoma between the lines, ndio maana mada za Paskali zinawatatiza kama sio kutozielewa kabisa.

Mfano, Kuna mada kaiandika nadhani juzi kama sio Jana, ukisoma comments za wachangiaji wengi, unabaini kuwa wameshindwa kabisa kung'amua alichomaanisha au kusudia katika ujumbe wake.
Kwahiyo wewe ndio unaelewa sio?
 
 
Back
Top Bottom