Pascal Mayalla hapo lazima wamnase. Kwa sababu hakuna uthibitisho wa kuchambua mtu hisia na mihemko yake

Pascal Mayalla hapo lazima wamnase. Kwa sababu hakuna uthibitisho wa kuchambua mtu hisia na mihemko yake

Napenda mtu anaesema ukweli km ulivyo bila kupindisha pindisha maneno, sema km ilivyo usipindishe sana maneno kupindisha maneno sio. Jambo lenye kuleta afya, wewe mfano ulitaka mkuu Pascal afanye nini amsifie Mwigulu kwamba Mwigulu kukosoa kupigiwa sana makofi na kushangiliwa kwa viongozi wastaafu alikua yupo sahihi na haikumuuma yeye kutokushangiliwa sana, ulitaka Pascal aseme uongo ambao wengi wanajua alichosema ni ukweli

Ni sawa
 
alietengeneza hii artwork hajielewi gentleman
Screenshot_20251219-132538~2.png
 
Back
Top Bottom