Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,160
- 11,228
Akiongea katika kipindi cha Jambo Asubuhi, Mwandishi Pascal Mayalla amesema Tanzania kuna tatizo kubwa la tafsiri ya sheria, hata kwenye Mihimili mitatu ya dola.
Ngoja tuone. 😎Paschal anameamua kujiliapua au anajua anachofanya?
Usimuamini muongo hata kama anachokuambia ni ukweli.Apongezwe sana japokuwa anang'ata na kupuliza, ila ni hatua kubwa sana.
Si angevitaja hivyo vifungu batili?
Amandla...
Sasa kama anachokwambia sasa hivi kina ukweli ukiamini kuna madhara gani?Usimuamini muongo hata kama anachokuambia ni ukweli.
Baadae anaweza kuja kukwambia nilikua nakudanganyaSasa kama anachokwambia sasa hivi kina ukweli ukiamini kuna madhara gani?
Sio rahisi hivyoBaadae anaweza kuja kukwambia nilikua nakudanganya