hatari Sana elezea hiyo biashara kwa ufasaha Mzee mitaji ipo syo una rukaruka tu 😂😂 sema Kama hizo Dolla ukinunua bank kutoka USD to TSH tunapiga kiasi fulani au unauzaje huo mzgo 😂😂
Hiyo ni huduma ya payment kutoka Deriv ambapo unapewa uagent na hao Deriv halafu unawahudumia wateja kwa ajili ya kudeposit na kuwithdraw , , kwa haraka haraka hakuna risk Kama wengi tunavyoamin Ila risk kubwa ni kutapeliwa na yule unayemuhudumia ,
Yan ipo hivi Kama mtu anahitaji kudeposit Dola kwenye acc yake ya Deriv , anamchek agent , unamtumia hela kwa mpesa halafu agent atahamisha Dola kwenye acc yake
Ni online? Mm cjaelewa unaiendeshaje. Una bureau de change? Je, security ikoje? Manake unahitaji ma cctv, ulinzi nk. Au unatembeza kama mmachinga? This is a very high risky business
Ni online? Mm cjaelewa unaiendeshaje. Una bureau de change? Je, security ikoje? Manake unahitaji ma cctv, ulinzi nk. Au unatembeza kama mmachinga? This is a very high risky business
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.