Umenikumbusha mbali sana,enzi hizo kila mtu anataka kwenda UDSM.Mtaani wakisikia unasoma UDSM basi ni kukupa heshima mwanzo mwisho
Ila maamuzi uliyochukua ya kuwapotezea ni vijana wachache sana wanaoweza kufanya hivyo aisee.Inferiority complex ili kumaliza pia baada ya kuona mtoto kapata UDSM halafu mwenzangu na mimi patupu.Mwenzio atakuwa next level kwa sasa,siunajua mabinti wazuri tena yupo chuo
Mmh pole sana, kama kweli ulikuhusu hongerakwa Kuwa shujaa maana ungewagombanisha MTU na Dada yake.na sisi utusamehe pale tulipokukwaza
ulikuwa wapi leo Honey Faith?