Part X: uko wapi rafiki? kuna cha kujifunza hapa!

Part X: uko wapi rafiki? kuna cha kujifunza hapa!

Thnx slim5, mwisho mbaya sina imani kama kweli utampata lakini hata ukimpata, mapenzi nae huna tena.
Allah atakulipa pepo si yeye tena.
Takbir
 
So pole kwanza,but ningependa utwambie means hawa watu huna mawasiliano nao kabisa till today?
 
Last edited by a moderator:
Story nzuri kuna mafunzo ndan yake katka hali ya maisha ya kawaida kwa vijana wa sasa nimejifunza kitu kuwa vijana wa siku hizi ukitoa msaada kwa jinsia tofauti mawazo ya wengi ni mawazo tofauti ya kuchepuka lkn hapa nimejifunza kuwa msimamo ni kitu cha msingi sana kwa sababu bila msimamo ingekua stori nyingine sasa ivi
 
Story nzuri kuna mafunzo ndan yake katka hali ya maisha ya kawaida kwa vijana wa sasa nimejifunza kitu kuwa vijana wa siku hizi ukitoa msaada kwa jinsia tofauti mawazo ya wengi ni mawazo tofauti ya kuchepuka lkn hapa nimejifunza kuwa msimamo ni kitu cha msingi sana kwa sababu bila msimamo ingekua stori nyingine sasa ivi

Ni kweli unachokisema, wengi hutoa msaada wakiwa na matarajio yao!
 
Ooh jaman ndio imeisha kwa kweli ni ya kusisimua. Andika kitabu Mkuu based on a true story!

Nashukuru mkuu. Wabongo hawana utamaduni wa kusoma vitabu, ntakufa maskini tu, labda nimtafute Ally Yakuti atengeneze scripts! Mwana
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana, manusura wetu je, ulikuta bado yupo hapo udsm?

Mmmh! Ilikuwa ngumu kutrace, nilirudi pale baadae sana, baada kumaliza u'graduate arusha, sikuwa na muda, wala interests ram
 
Last edited by a moderator:
I learned something bro slim 5 upo smart sana but inauma hujala hata mmoja
 
Ili? Unajua wakikutana jamaa lazima alazimishe game..
anaweza kukutana lakini wakiwa katika hali gani....................Kichaa, mgonjwa na mambo yasiyowezekana kulazinisha game..............
 
Back
Top Bottom