Part X: uko wapi rafiki? kuna cha kujifunza hapa!

Part X: uko wapi rafiki? kuna cha kujifunza hapa!

Mmmh! Ilikuwa ngumu kutrace, nilirudi pale baadae sana, baada kumaliza u'graduate arusha, sikuwa na muda, wala interests ram
kuna kitu huwa kinawakuta sana watu mkuu slim5........hasa pale yale wanayoyategemea yanaposhindikana mbele ya watu wanaowaadimaya..........sijui ni aibu..............?, kutokuamini kuwa jambo lolote lina pande mbili(positive and negative side)...........wakati mwingine familia zetu hizi maskini ukionyesha njia basi ukoo mzima macho kwako hivyo unapotetereka unaona kama umeuangusha ukoo mzima.......inauma sanaaaaaaaaa.................POLE mkuu kwa kukosa nafasi UDSM................
 
Thanx! Ila nilirudi kutimiza ndoto baadae ram

Pamoja sana mkuu .. Bonge la story . Ila mkuu thamani ya usamaria mwema iliisha pale ulipo wanyima furaha ya moyo. Ungekubali tu kupokea fadhila kaka. Kutoka kwa mumoja wapo
 
Last edited by a moderator:
kuna kitu huwa kinawakuta sana watu mkuu slim5........hasa pale yale wanayoyategemea yanaposhindikana mbele ya watu wanaowaadimaya..........sijui ni aibu..............?, kutokuamini kuwa jambo lolote lina pande mbili(positive and negative side)...........wakati mwingine familia zetu hizi maskini ukionyesha njia basi ukoo mzima macho kwako hivyo unapotetereka unaona kama umeuangusha ukoo mzima.......inauma sanaaaaaaaaa.................POLE mkuu kwa kukosa nafasi UDSM................

Thanx! Jahazi linasonga MJINI CHAI
 
Last edited by a moderator:
Pamoja sana mkuu .. Bonge la story . Ila mkuu thamani ya usamaria mwema iliisha pale ulipo wanyima furaha ya moyo. Ungekubali tu kupokea fadhila kaka. Kutoka kwa mumoja wapo

aaah aaah aaah aaah! Mkuu umetisha!
 
hii story inatufundisha kuwa..tenda wema nenda zako, usingoje shukrani.
 
Nitarudi baadaee maana hiki kichwa bila viroba siielewi hii story
 
Duh!! mkuu slim5 hii kitu imekaa poa sana na naamini wengi wa wafuatiliaji ilibidi waendelee mpaka mwisho ili waweze kufahamu wht happened,Na mimi pamoja na ugwiji wangu wa kutabiri story bado nimegonga mwamba pa1 sana mkuu ila tumejifunza ki2
 
slim 5 , umenichekesha sanaa yaani uliamua kumchukia manusura kwa sababu ya kukosa chuo, basi sawa sasa si umtafute ujue alipo kwani pale kwao ushaenda????????
 
Duh!! mkuu slim5 hii kitu imekaa poa sana na naamini wengi wa wafuatiliaji ilibidi waendelee mpaka mwisho ili waweze kufahamu wht happened,Na mimi pamoja na ugwiji wangu wa kutabiri story bado nimegonga mwamba pa1 sana mkuu ila tumejifunza ki2

Pamoja sana mkuu monanja
 
Last edited by a moderator:
slim 5 , umenichekesha sanaa yaani uliamua kumchukia manusura kwa sababu ya kukosa chuo, basi sawa sasa si umtafute ujue alipo kwani pale kwao ushaenda????????

Mkuu ndio hivo ilivokuja kuwa prospa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom