PART TIME VACCANCY FOR COLLEGE STUDENTS DAR ES SALAAM
Direct Sales Staffs wa mabibo hostel Loundry Services
kama mjasiriamali nimeamua kuleta fursa kwa wanachuo wawili kila chuo dare s salaam ili wote mimi na nyinyi tuweze faidika kwa namna moja au nyingine.. kwa mimi kuongeza mauzo yangu na yeye kupata mbadala wa boom na kujifunza majukumu mapema.
Ninapenda kufanya kazi na vijana tofauti wachache ambao watasimamia upatikanaji wa wateja katika vyuo vyao na mitaa yao.. kukusanya nguo zao na kuziweka tag,.. kisha kulink na ofisi na kumkabidhi dereva bajaj / ofisi car jioni yake ambaye atakuwa anamfata direct sales agent kila siku jioni na atazileta ofisini kufuliwa na kesho yake kuzirudisha kwa sales agent.. ambaye yeye atazisambaza kwa wateja waliompatia hizo nguo hostel kwao / mtaani kwao
Natafuta direct sales officers 2 kila chuo dare s salaam jinsia zote me mmoja na ke mmoja
Sifa zake
Sales and marketing skills za hali ya juu hasa uwezo wa kujieleza na uwezo wa ku reach daily targets
High integrity ,Self motivated and results oriented, asiwe mtu wa excuse
Duties and responsibilities will be
-Apply marketing approach on campus and hostels kupata wateja wa kufua nguo
-Explain our laundry services to customers, and provide advices to customers regarding choice of services
-Finding new customers daily, collecting clothes from customers for pick up and distribute them to customer after delivery
Price list za wanachuo ni
1.jeans = 600/= 2. Shati / blauzi = 500/= 3. tisheti = 500/= 4. Suruali / sketi = 500/= 5. 6. shuka = 1000/= 7. taulo = 1000/=
GHARAMA HIZI ZIMEJUMLISHA MPAKA PICK UP NA DELIVERY FEE VYUONI
UTARATIBU WA HUDUMA NA UFUAJI
Utaratibu wa huduma kwa wanachuo hostels itakuwa direct sales staff anatafuta wateja wapya na anakusanya nguo za wanafunzi wenzake zinazotakiwa kufuliwa na kuziweka tag ili zisichanganywe muda wa kurudisha ijulikane nguo za mteja flani ni hizi hapa….. na kutoa taarifa mapema kabla ya saa 12 jioni.. jioni hiyo hiyo gari / bajaj ya laundry itazifata na kuzileta ofisini na subuhi ya siku inayofata zitafuliwa na kukaushwa.. na jioni yake /usiku zitarudishwa hostel kwa sales agent kasha yeye atazisambaza kwa wateja waliompatia
Utaratibu wa pili ni kwa wateja wa nje ya chuo wanaoishi mtaani near chuo.. direct sales staff atapitia nguo za wateja wake mtaani na kuziweka collection point ambapo bajaj / gari ya laundry itazifata jioni na kuzileta ofisini na kufuliwa na kukaushwa kesho yake.. na jioni yake bajaj / gari ya ofisi itazirudisha kwa sales agent kwake.. ambapo yeye atasambazia wateja wake
Daily Target ya Direct sales staff
50 pcs of clothes.. so utaandaa plan yako ya kupata nguo 50 kila siku… kama utapata wanafunzi wenzako 50 kila mmoja akakupa nguo moja chafu sawa… ama kama utapata wateja watano kila mmoja akakupa nguo chafu 10 ama ukapata mteja mmoja tu akakupa nguo zote 50 itakuwa juu yako.. ila target ni nguo 50 kufidia gharama za usafiri kufata na kurudisha nguo chuoni kwako baada ya kufuliwa.. sio nguo moja moja zifatwe kila saa
ama anaweza zikusanya kwa wiki nguo 50 x 7 ambazo ni sawa na nguo 350 kila wiki..
kila binadamu anavaa wastani wa nguo 2 kila siku mfano skirt na blauzi, jeans na tshirt au suruali na shati.. so nguo 50 ni sawa na wateja 25 kila siku.. katika maelfu ya wanafunzi waliopo chuoni kwako uwe na uwezo wa kuwa na clients not less than 25 people utafika target haraka.
Mshahara wa kuanzia ni Laki mbili tu a.k.a 200,000 kwa mwezi.. na utaamua mwenyewe ugawanywe ulipwe kila siku, kila wiki au kila mwezi.. ukiwa unapita target mshahara unapanda na bonus zipo
Nafasi ni 2 kwa kila chuo dar es salaam.. moja me na nyingine ke…
Maombi yatumwe shaurimbaya@gmail.com
Dobi Kitaani - Ubungo/Vituka (@udsm_loundry_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Kuna kazi zingine ofisi inafanya.. unaweza ukafanya majukumu ya sales pia ukapata bonus yako nje ya huo mshahara wa loundry
kuna tshirt printing workshop
Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Na pia kuna Photo studio ya kisasa for Models
Photo_ studio_mabibo_hostel (@photo_studio_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Direct Sales Staffs wa mabibo hostel Loundry Services
kama mjasiriamali nimeamua kuleta fursa kwa wanachuo wawili kila chuo dare s salaam ili wote mimi na nyinyi tuweze faidika kwa namna moja au nyingine.. kwa mimi kuongeza mauzo yangu na yeye kupata mbadala wa boom na kujifunza majukumu mapema.
Ninapenda kufanya kazi na vijana tofauti wachache ambao watasimamia upatikanaji wa wateja katika vyuo vyao na mitaa yao.. kukusanya nguo zao na kuziweka tag,.. kisha kulink na ofisi na kumkabidhi dereva bajaj / ofisi car jioni yake ambaye atakuwa anamfata direct sales agent kila siku jioni na atazileta ofisini kufuliwa na kesho yake kuzirudisha kwa sales agent.. ambaye yeye atazisambaza kwa wateja waliompatia hizo nguo hostel kwao / mtaani kwao
Natafuta direct sales officers 2 kila chuo dare s salaam jinsia zote me mmoja na ke mmoja
Sifa zake
Sales and marketing skills za hali ya juu hasa uwezo wa kujieleza na uwezo wa ku reach daily targets
High integrity ,Self motivated and results oriented, asiwe mtu wa excuse
Duties and responsibilities will be
-Apply marketing approach on campus and hostels kupata wateja wa kufua nguo
-Explain our laundry services to customers, and provide advices to customers regarding choice of services
-Finding new customers daily, collecting clothes from customers for pick up and distribute them to customer after delivery
Price list za wanachuo ni
1.jeans = 600/= 2. Shati / blauzi = 500/= 3. tisheti = 500/= 4. Suruali / sketi = 500/= 5. 6. shuka = 1000/= 7. taulo = 1000/=
GHARAMA HIZI ZIMEJUMLISHA MPAKA PICK UP NA DELIVERY FEE VYUONI
UTARATIBU WA HUDUMA NA UFUAJI
Utaratibu wa huduma kwa wanachuo hostels itakuwa direct sales staff anatafuta wateja wapya na anakusanya nguo za wanafunzi wenzake zinazotakiwa kufuliwa na kuziweka tag ili zisichanganywe muda wa kurudisha ijulikane nguo za mteja flani ni hizi hapa….. na kutoa taarifa mapema kabla ya saa 12 jioni.. jioni hiyo hiyo gari / bajaj ya laundry itazifata na kuzileta ofisini na subuhi ya siku inayofata zitafuliwa na kukaushwa.. na jioni yake /usiku zitarudishwa hostel kwa sales agent kasha yeye atazisambaza kwa wateja waliompatia
Utaratibu wa pili ni kwa wateja wa nje ya chuo wanaoishi mtaani near chuo.. direct sales staff atapitia nguo za wateja wake mtaani na kuziweka collection point ambapo bajaj / gari ya laundry itazifata jioni na kuzileta ofisini na kufuliwa na kukaushwa kesho yake.. na jioni yake bajaj / gari ya ofisi itazirudisha kwa sales agent kwake.. ambapo yeye atasambazia wateja wake
Daily Target ya Direct sales staff
50 pcs of clothes.. so utaandaa plan yako ya kupata nguo 50 kila siku… kama utapata wanafunzi wenzako 50 kila mmoja akakupa nguo moja chafu sawa… ama kama utapata wateja watano kila mmoja akakupa nguo chafu 10 ama ukapata mteja mmoja tu akakupa nguo zote 50 itakuwa juu yako.. ila target ni nguo 50 kufidia gharama za usafiri kufata na kurudisha nguo chuoni kwako baada ya kufuliwa.. sio nguo moja moja zifatwe kila saa
ama anaweza zikusanya kwa wiki nguo 50 x 7 ambazo ni sawa na nguo 350 kila wiki..
kila binadamu anavaa wastani wa nguo 2 kila siku mfano skirt na blauzi, jeans na tshirt au suruali na shati.. so nguo 50 ni sawa na wateja 25 kila siku.. katika maelfu ya wanafunzi waliopo chuoni kwako uwe na uwezo wa kuwa na clients not less than 25 people utafika target haraka.
Mshahara wa kuanzia ni Laki mbili tu a.k.a 200,000 kwa mwezi.. na utaamua mwenyewe ugawanywe ulipwe kila siku, kila wiki au kila mwezi.. ukiwa unapita target mshahara unapanda na bonus zipo
Nafasi ni 2 kwa kila chuo dar es salaam.. moja me na nyingine ke…
Maombi yatumwe shaurimbaya@gmail.com
Dobi Kitaani - Ubungo/Vituka (@udsm_loundry_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Kuna kazi zingine ofisi inafanya.. unaweza ukafanya majukumu ya sales pia ukapata bonus yako nje ya huo mshahara wa loundry
kuna tshirt printing workshop
Tshirt Garage Mabibo Hostel (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
Na pia kuna Photo studio ya kisasa for Models
Photo_ studio_mabibo_hostel (@photo_studio_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos