Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Nime furahishwa sana na majibu haya,...
Nipo chuo mwaka wa pili nachukua B.Sc in Computer science ila "KIUKWELI" kwa tulio chuo challenge kubwa kwetu ni kujua nini tu-concentrate nacho ingawa pia ni muhimu kujua mambo mengi sana ya IT!!
Help us brothers,ila napenda kujua INFORMATION SYSTEM AUDITOR ana husika na nini kwa zaidi
Mimi Nkuashauri Chagua kukocentrate kati ya NETWORK AU DATABASE. Kwa maizngira ya tanzania soma programming ili ufaulu effort yako kubwa weka kwenye subjetc zinazoendana na hizo key area mbili.
After all Hakuna program zinazofanya kazi on their own . Most program are wriiten as an Interface( eg VB, JAVA, etc) ya kuacess database. iwe ni SQL , ORACLE, MYSQL
Vile Vile dunia tunayokwenda most application zinakuwa web based. Lakini most website are Database Driven. Mfano hii jamii forum ni website lakini users, forum, etc zinkauwa stored in form of database. Na kama unataka kuwa mtaalam wa Programming Basi Bobea kweye DATABASE PROGRAMMING. ujue mambo ya views, stored procedures, Transact SQL, etc
Subjetc za networking ni muhimu pia. kuwa na basic nzuri za subject za Networking kutakufanya uelewe most application kama Client/server zinavyofanya kazi.
Unachohitaji kujua kwenye organisation yeyote ile DATA is a key resource.
So before hujawa Information System Auditor makini inabidi ubobee kwenye area hizo mbili.
Mfano Nahakika pale TRA kuna vijana wasio waaminifu japo wanapewa mishahara mizuri wana temper na system za kompyuta kwa manufaa binafsi. Auditor wa kawaida anaweza asigundue kosa sababu atakuta kila kitu kimebalansi. Hapo ndo utaalamu wa Auditor wa system utakapohitajika.