PART (ii) Kuwalazimisha wananchi kuvaa barakoa sio suluhisho la kupambana na maambukizi ya Corona

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
May 4, 2016
218
297
Namalizia sehemu ya mwisho ya andiko langu lenye kichwa cha Habari hapo juu.

Andiko lililopita nilieleza sisi Watanzania tulivyopambana na mawimbi yote ya maambukizi ya corona na namna wananchi walivyoitikia na nikaeleza kuwa Kati ya njia mbili za kujikinga yaani njia ya Kiasili na ya Kisasa sisi tuliitumia ya asili na ndio maana tulisisitizwa na serikali chini ya Rais Magufuli kwamba tujifukize ama tupige nyungu. Na kwa mujibu wa taarifa ya serikali tulisalimika kwa kiasi kikubwa sana yaani athari zilikuwa ndogo sana.

Sasa tupo WIMBI LA TATU, serikali iliyopo si ile ya WIMBI LA KWANZA NA LA PILI. Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, inapendelea kutumia njia za Kisasa ikienda kinyume na ile ya kwanza.

Njia ya Kisasa hasa ni kwenye uvaaji wa barakoa na Wito wa kupatikana kwa chanjo na kuzitumia. Serikali imeenda mbali zaidi ambapo sasa kupitia Wizara ya afya na viongozi mbalimbali kama wakuu wa Mikoa likiwemo jiji la Dar es Salaam ambalo liko chini ya Amos Makalla, barakoa ni LAZIMA kwenye sehemu ya msongamano.

Tukumbuke tu kwamba serikali ya Magufuli ilichukia uvaaji wa barakoa ikidai kwamba ni kuleta taharuki na kuwatishia watu ingawa serikali haikuzuia uvaaji wa barakoa, watu walikuwa huru kuvaa ama kutokuvaa, serikali ilisisitiza barakoa za kutengenezwa na wananchi wenyewe au zile za MSD zilizotengenezwa Tanzania.

Mpaka sasa Watanzania walio wengi wanaamini barakoa za dukani zina madhara, pili corona haipo, tatu chanjo zote za corona zina madhara na hivyo kusisitiza barakoa na chanjo ni mbinu ya serikali kutaka kukidhi vigezo vya kimataifa ili iweze kuapata mikopo.

Ugumu wa kulazimisha wananchi kuvaa barakoa unatokana na serikali kubadilishia gia angani ya kupambana na ugonjwa huu wa COVID-19 kutoka njia za asili kwenda njia za Kisasa.

Hivyo serikali ikitaka kufanikiwa isiwalazimishe wananchi kuvaa barakoa wala chanjo badala yake itoe elimu ya kutosha na kuwaacha raia wenyewe wachague.

Ikumbukwe kwamba katikati ya WIMBI la KWANZA la corona Rais wa Tanzania hayati JPM, alisema Watanzania wajifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kauli ambayo ilifuatiwa na Shirika la Afya Duniani WHO kwamba Dunia ijifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kwasababu hakuna matumaini ya kumalizika kwa ugonjwa huu leo wala kesho.

Lakini ni siku moja tu sasa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema sasa Uingereza itaondoa tamko lake la ulazima wa kuvaa barakoa na kuishi kwa kuzingatia umbali na badala yake watu wajifunze tu kuishi na ugonjwa huu.

Tunasema Ilipotoa mguu Tanzania, Dunia ndio inaweka mguu wake. Tusirudi Nyuma.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.View attachment 1843175

20210706_122212.jpg
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani (lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi, wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita, tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje!

Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
 
Namalizia sehemu ya mwisho ya andiko langu lenye kichwa cha Habari hapo juu.

Andiko lililopita nilieleza sisi Watanzania tulivyopambana na mawimbi yote ya maambukizi ya corona na namna wananchi walivyoitikia na nikaeleza kuwa Kati ya njia mbili za kujikinga yaani njia ya Kiasili na ya Kisasa sisi tuliitumia ya asili na ndio maana tulisisitizwa na serikali chini ya Rais Magufuli kwamba tujifukize ama tupige nyungu. Na kwa mujibu wa taarifa ya serikali tulisalimika kwa kiasi kikubwa sana yaani athari zilikuwa ndogo sana.

Sasa tupo WIMBI LA TATU, serikali iliyopo si ile ya WIMBI LA KWANZA NA LA PILI. Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, inapendelea kutumia njia za Kisasa ikienda kinyume na ile ya kwanza.

Njia ya Kisasa hasa ni kwenye uvaaji wa barakoa na Wito wa kupatikana kwa chanjo na kuzitumia. Serikali imeenda mbali zaidi ambapo sasa kupitia Wizara ya afya na viongozi mbalimbali kama wakuu wa Mikoa likiwemo jiji la Dar es Salaam ambalo liko chini ya Amos Makalla, barakoa ni LAZIMA kwenye sehemu ya msongamano.

Tukumbuke tu kwamba serikali ya Magufuli ilichukia uvaaji wa barakoa ikidai kwamba ni kuleta taharuki na kuwatishia watu ingawa serikali haikuzuia uvaaji wa barakoa, watu walikuwa huru kuvaa ama kutokuvaa, serikali ilisisitiza barakoa za kutengenezwa na wananchi wenyewe au zile za MSD zilizotengenezwa Tanzania.

Mpaka sasa Watanzania walio wengi wanaamini barakoa za dukani zina madhara, pili corona haipo, tatu chanjo zote za corona zina madhara na hivyo kusisitiza barakoa na chanjo ni mbinu ya serikali kutaka kukidhi vigezo vya kimataifa ili iweze kuapata mikopo.

Ugumu wa kulazimisha wananchi kuvaa barakoa unatokana na serikali kubadilishia gia angani ya kupambana na ugonjwa huu wa COVID-19 kutoka njia za asili kwenda njia za Kisasa.

Hivyo serikali ikitaka kufanikiwa isiwalazimishe wananchi kuvaa barakoa wala chanjo badala yake itoe elimu ya kutosha na kuwaacha raia wenyewe wachague.

Ikumbukwe kwamba katikati ya WIMBI la KWANZA la corona Rais wa Tanzania hayati JPM, alisema Watanzania wajifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kauli ambayo ilifuatiwa na Shirika la Afya Duniani WHO kwamba Dunia ijifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kwasababu hakuna matumaini ya kumalizika kwa ugonjwa huu leo wala kesho.

Lakini ni siku moja tu sasa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema sasa Uingereza itaondoa tamko lake la ulazima wa kuvaa barakoa na kuishi kwa kuzingatia umbali na badala yake watu wajifunze tu kuishi na ugonjwa huu.

Tunasema Ilipotoa mguu Tanzania, Dunia ndio inaweka mguu wake. Tusirudi Nyuma.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.View attachment 1843175

View attachment 1843167
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani (lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi, wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita, tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje!

Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Mnaonaje pumba zenu kuunganishwa!?
Endeleeni kushupaza shingo!
Sisi tutaendelea kuchukua tahadhari jinsi zinavyoelekezwa na wataalamu wa afya
 
Wenzetu wanafikiria kuachana na mabarakoa na social distance sisi tunarudi nyuma tulipotoka hawa wavaa mabarakoa kwa mipango yao wanataka kutulazimisha wote bahati nzuri toka wameanza na kampeni zao watanzania wamewapuuza ukiangalia maisha ya watanzania hayajabadilika kuanzia kuvaa mabarakoa au kukaa social distance kama wanataka kupiga pesa wapige tu si kuforce watu kuhalalisha upigaji wao.

Pia ni upuuzi unapiga chanjo then bado unaambiwa vaa barakoa kaa social Distance nawa mikono sasa unatofauti gani na hawa wengine ambao hawana chanjo? hv leo upewe chanjo ya Ukimwi then unasisitizwa matumizi ya Condoms huu si upuuzi?
 
Dah....mnajihangaisha na kugongana vichwa bure.... Mambo yamebadilika....serikali ya JPM ilijiendesha zaidi kwa kutumia fedha za ndani....na SSH inategemea zaidi mikopo na misaada kutoka nje.... mumeerewa? 🤭
 
Wenzetu wanafikiria kuachana na mabarakoa na social distance sisi tunarudi nyuma tulipotoka hawa wavaa mabarakoa kwa mipango yao wanataka kutulazimisha wote bahati nzuri toka wameanza na kampeni zao watanzania wamewapuuza ukiangalia maisha ya watanzania hayajabadilika kuanzia kuvaa mabarakoa au kukaa social distance kama wanataka kupiga pesa wapige tu si kuforce watu kuhalalisha upigaji wao.
Dikteta aliiletea ubishi Covid19,ikamuondoa, nanyinyi mnaendea huko
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani (lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi, wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita, tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje!

Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Kunawat wanawaza 570$ kwa huyo wao huku chini mnakula kilichopikwa bila kujal mmeshiba au nikibaya au mmenawa au hamjanawa...
 
Wenzetu wameshapata chanjo tayari
Wenzetu wanafikiria kuachana na mabarakoa na social distance sisi tunarudi nyuma tulipotoka hawa wavaa mabarakoa kwa mipango yao wanataka kutulazimisha wote bahati nzuri toka wameanza na kampeni zao watanzania wamewapuuza ukiangalia maisha ya watanzania hayajabadilika kuanzia kuvaa mabarakoa au kukaa social distance kama wanataka kupiga pesa wapige tu si kuforce watu kuhalalisha upigaji wao.
 
Tangu kuzuka kwa Corona nchini China mwaka 2019, mataifa mengi duniani yaliamua kuja na mbinu za kupambana na Corona kwa kufungia watu ndani (lockdown) kuvaa barakoa, social distance na mengine mengi ikiwemo Chanjo.

Tanzania tuliamua kuishi na Corona kwa kukataa kujifungia (lockdown) na shughuli ziliendelea kama kawaida na watu wakisafiri huku na huko, hata watalii kipindi cha Corona walikuwa wengi sana Tanzania.

Baada ya miaka miwili kupita tangu Corona izuke mataifa yaliyoongoza kwa vifo ni Marekani, China, India Brazil etc hayo mataifa ni tajiri yana mitungi ya oxygen mingi, wana barakoa, na walijifungia.

Tanzania chini ya hayati rais Magufuli tuliamua kutumia njia za asili kama kunywa juice ya Tangawizi na malimao, kupiga nyungu na kumtanguliza Mungu mbele etc na matokeo yake impact ya Corona ni ndogo sana na tuliweza kuingia uchumi wa kati.

Cha kusikitisha baada ya miaka 2 ya Corona kupita, tume iloyoundwa na rais Samia Suluhu licha ya hiyo kamati kujaa maprofesa wa afya inataka kutuaminisha kwamba watanzania si lolote si chochote na tunatakiwa tujifunze kwa waliofanya lockdown huko nchi za nje!

Lakini ukweli ni kwamba ukipima impact ya Corona Tanzania inaonyesha tumefanikiwa sana na tulitakiwa tujivunie haya mafanikio hadharani na kuitaka dunia ije ijifunze Tanzania mbinu tulizotumia.

Hivi sisi watanzania nani aliyeturoga? Pamoja na ushahidi wote uliotuzunguka ukionyesha tumefaulu vita ya Corona bado maprofesa wetu wanataka tufanye kama walivyofanya India, Marekani, Rwanda?

Na Chadema nao wanashqngilia?
Je kuna takwimu za haya unayoyaongea??
 
Namalizia sehemu ya mwisho ya andiko langu lenye kichwa cha Habari hapo juu.

Andiko lililopita nilieleza sisi Watanzania tulivyopambana na mawimbi yote ya maambukizi ya corona na namna wananchi walivyoitikia na nikaeleza kuwa Kati ya njia mbili za kujikinga yaani njia ya Kiasili na ya Kisasa sisi tuliitumia ya asili na ndio maana tulisisitizwa na serikali chini ya Rais Magufuli kwamba tujifukize ama tupige nyungu. Na kwa mujibu wa taarifa ya serikali tulisalimika kwa kiasi kikubwa sana yaani athari zilikuwa ndogo sana.

Sasa tupo WIMBI LA TATU, serikali iliyopo si ile ya WIMBI LA KWANZA NA LA PILI. Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, inapendelea kutumia njia za Kisasa ikienda kinyume na ile ya kwanza.

Njia ya Kisasa hasa ni kwenye uvaaji wa barakoa na Wito wa kupatikana kwa chanjo na kuzitumia. Serikali imeenda mbali zaidi ambapo sasa kupitia Wizara ya afya na viongozi mbalimbali kama wakuu wa Mikoa likiwemo jiji la Dar es Salaam ambalo liko chini ya Amos Makalla, barakoa ni LAZIMA kwenye sehemu ya msongamano.

Tukumbuke tu kwamba serikali ya Magufuli ilichukia uvaaji wa barakoa ikidai kwamba ni kuleta taharuki na kuwatishia watu ingawa serikali haikuzuia uvaaji wa barakoa, watu walikuwa huru kuvaa ama kutokuvaa, serikali ilisisitiza barakoa za kutengenezwa na wananchi wenyewe au zile za MSD zilizotengenezwa Tanzania.

Mpaka sasa Watanzania walio wengi wanaamini barakoa za dukani zina madhara, pili corona haipo, tatu chanjo zote za corona zina madhara na hivyo kusisitiza barakoa na chanjo ni mbinu ya serikali kutaka kukidhi vigezo vya kimataifa ili iweze kuapata mikopo.

Ugumu wa kulazimisha wananchi kuvaa barakoa unatokana na serikali kubadilishia gia angani ya kupambana na ugonjwa huu wa COVID-19 kutoka njia za asili kwenda njia za Kisasa.

Hivyo serikali ikitaka kufanikiwa isiwalazimishe wananchi kuvaa barakoa wala chanjo badala yake itoe elimu ya kutosha na kuwaacha raia wenyewe wachague.

Ikumbukwe kwamba katikati ya WIMBI la KWANZA la corona Rais wa Tanzania hayati JPM, alisema Watanzania wajifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kauli ambayo ilifuatiwa na Shirika la Afya Duniani WHO kwamba Dunia ijifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kwasababu hakuna matumaini ya kumalizika kwa ugonjwa huu leo wala kesho.

Lakini ni siku moja tu sasa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema sasa Uingereza itaondoa tamko lake la ulazima wa kuvaa barakoa na kuishi kwa kuzingatia umbali na badala yake watu wajifunze tu kuishi na ugonjwa huu.

Tunasema Ilipotoa mguu Tanzania, Dunia ndio inaweka mguu wake. Tusirudi Nyuma.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.View attachment 1843175

Wenzio wanataka msaada we nawe

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Namalizia sehemu ya mwisho ya andiko langu lenye kichwa cha Habari hapo juu.

Andiko lililopita nilieleza sisi Watanzania tulivyopambana na mawimbi yote ya maambukizi ya corona na namna wananchi walivyoitikia na nikaeleza kuwa Kati ya njia mbili za kujikinga yaani njia ya Kiasili na ya Kisasa sisi tuliitumia ya asili na ndio maana tulisisitizwa na serikali chini ya Rais Magufuli kwamba tujifukize ama tupige nyungu. Na kwa mujibu wa taarifa ya serikali tulisalimika kwa kiasi kikubwa sana yaani athari zilikuwa ndogo sana.

Sasa tupo WIMBI LA TATU, serikali iliyopo si ile ya WIMBI LA KWANZA NA LA PILI. Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, inapendelea kutumia njia za Kisasa ikienda kinyume na ile ya kwanza.

Njia ya Kisasa hasa ni kwenye uvaaji wa barakoa na Wito wa kupatikana kwa chanjo na kuzitumia. Serikali imeenda mbali zaidi ambapo sasa kupitia Wizara ya afya na viongozi mbalimbali kama wakuu wa Mikoa likiwemo jiji la Dar es Salaam ambalo liko chini ya Amos Makalla, barakoa ni LAZIMA kwenye sehemu ya msongamano.

Tukumbuke tu kwamba serikali ya Magufuli ilichukia uvaaji wa barakoa ikidai kwamba ni kuleta taharuki na kuwatishia watu ingawa serikali haikuzuia uvaaji wa barakoa, watu walikuwa huru kuvaa ama kutokuvaa, serikali ilisisitiza barakoa za kutengenezwa na wananchi wenyewe au zile za MSD zilizotengenezwa Tanzania.

Mpaka sasa Watanzania walio wengi wanaamini barakoa za dukani zina madhara, pili corona haipo, tatu chanjo zote za corona zina madhara na hivyo kusisitiza barakoa na chanjo ni mbinu ya serikali kutaka kukidhi vigezo vya kimataifa ili iweze kuapata mikopo.

Ugumu wa kulazimisha wananchi kuvaa barakoa unatokana na serikali kubadilishia gia angani ya kupambana na ugonjwa huu wa COVID-19 kutoka njia za asili kwenda njia za Kisasa.

Hivyo serikali ikitaka kufanikiwa isiwalazimishe wananchi kuvaa barakoa wala chanjo badala yake itoe elimu ya kutosha na kuwaacha raia wenyewe wachague.

Ikumbukwe kwamba katikati ya WIMBI la KWANZA la corona Rais wa Tanzania hayati JPM, alisema Watanzania wajifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kauli ambayo ilifuatiwa na Shirika la Afya Duniani WHO kwamba Dunia ijifunze kuishi na ugonjwa huu kama yalivyo magonjwa mengine kwasababu hakuna matumaini ya kumalizika kwa ugonjwa huu leo wala kesho.

Lakini ni siku moja tu sasa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amesema sasa Uingereza itaondoa tamko lake la ulazima wa kuvaa barakoa na kuishi kwa kuzingatia umbali na badala yake watu wajifunze tu kuishi na ugonjwa huu.

Tunasema Ilipotoa mguu Tanzania, Dunia ndio inaweka mguu wake. Tusirudi Nyuma.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.View attachment 1843175

Hii ni falsafa ya kijinga na upotoshaji. Wenzetu wanalegeza masharti kwa kuwa wengi wamechanjwa.
 
Hakuna haja ya watu kuvaa barakoa,watz tujitolee kufa kwa korona kama tunavyojitolea kufa kwa kula tunda kimasihara
 
Back
Top Bottom