Part 4: TISS bado safari ngumu

Part 4: TISS bado safari ngumu

Uko sahihi. Wapo pia wafia chama japo pia walio serious ila wanabezwa. QUOTE="Masanva Aya, post: 32864294, member: 381268"]
Mimi nimeanza kujua maana ya TISS miaka ya hapa baada ya Baba wa taifa kututoka, kabla ya hapo, hawa watu huwajui ila wapo, na cha ajabu siku hizi wanatajwa hadharani na wao pia wajitokeza kwenye "live" mtindo wa kisasa, wakikemea mambo.
Yaani Siku hizi wana dili na............ ...... ....... Sio umasikini au rushwa, ufisadi, na mengine..... Mbaya zaidi sasa wanajulikana kama wafia chama na sio Nchi.
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom