Part 3: Ujasusi ndani ya Boeing

Part 3: Ujasusi ndani ya Boeing

Barrack Obama aliwaita mkurugenzi mkuu wa CIA Leon Paneta pamoja na majenerali kadhaa wa jeshi la Marekani siku chache baada ya CIA kumtaarifu Rais Obama kuwa ,tayari maficho ya Osama waliweza kuyabaini yalipo mjini Abbotabad Pakistan.
Obama alishaurina nao jinsi ya kumpata Osama, wakaweka option tatu.
1.Kuitaarifu serikali ya Pakistani iwasaidie kumkamata Osama
2.Kuipiga mabomu nyumba waliyojihakikishia kuwa Osama anaishi humo ili isambararike na Osama afe
3.Kuivamia Pakistan kimya kimya na kisha kumuua kabisa Osama.
Option namba 1 ilipingwa Kwa hoja kwamba, serikali ya Pakistani ilijua uwepo wa Osama na Kwa hivyo kuitaarifu ingemtorosha Osama, hatimaye Obama akakiamuru kikosi maalumu na bora kabisa cha makomandoo maarufu Kwa jina la Navy Seal kuivamia Pakistan na kisha kumuua kabisa Osama ,na endapo ingetokea lolote Marekani ilikuwa tayari kuingia vitani na Pakistan.
Pamoja na misaada yote ya Marekani Kwa Pakistani lakini bado Marekani iliamini kuwa Pakistani ni adui yake tu, mara baada ya Osama kuuawa Pakistani iliwakamata raia wake kadhaa akiwemo Dr Ahmed ambao walitumiwa na CIA bila kujua ama walijua kupeleleza alipojificha Osama ndani ya Pakistan.
Boeing imehuhujumiwa na majasusi Kwa kutumia wafanyakazi wa Boeing waliojua wanachofanya au hawakujua kabisa, ni Kama lile tukio la majasusi wa North Korea waliomuua kaka yake na Rais Kim Jong Un ktk jiji, la Kuala Lumpur Malaysia .
Walikodi wasichana mmoja akiwa raia wa Vietnam na kisha wakaambiwa kuwa, kuna tukio la kucheza sinema Airport, watapewa unga kwenye leso kisha wataonyeshwa mtu wa kumpaka Huo unga usoni na baada ya kumpaka wakimbie haraka bafuni kunawa mikono.
Walilipwa kwa kazi hiyo Kumbe ilikuwa sumu Hatari waliyopewa na majasusi.
Mahakama kuu ya Malaysia imemhukumu kifungo cha miaka mitatu binti wa Vietnam baada ya upelelezi kuhakikisha kuwa ni kweli aliingizwa mkenge na majasusi.
Gazeti la New York Times la 27/03/2019 limeripot juu ya kamati ya Bunge la Congress la Marekani kuiweka kiti moto kampuni ya Boeing juu ya ajali mbili mfululizo.
Kamati ya hiyo ya Congress haikuridhika na majibu ya Boeing waliyotoa kujitetea, kamati inadai kuna maswali mengi yasiyojibika.
Kudai kwamba mfumo wa Computer uliofungwa kwenye Boeing 737 ni mpya na uliwasumbua marubani hadi kusababisha ajali hiyo ni very poor excuse.
Kusema kwamba ni mfumo wa Computer ndo tatizo ni Taarifa za awali tu lakini uchunguzi zaidi unaendelea hadi sasa bado ni fumbo gumu.
Kwanini huo mfumo mpya wa Computer marubani hawakufundishwa kabla ya kurusha hizo ndege?
Kwa mfano ndege zote za kijeshi, (fighter jets) kila aina ya ndege ni lazima kila rubani aende kozi kuisomea kabla ya kuirusha.
Rubani anayerusha Mig-21 hawezi kurusha F-16 hadi aende kozi, Rubani anayerusha F-35 hawezi kurusha Stealth Bomber hadi aende kozi .
Na hata kwa ndege za abiria nazo zinatofautiana, huwezi kurusha Boeing 377 hadi uende kozi.
Sasa ilikuwaje Boeing 737 iingie sokoni bila marubani kufundishwa mfumo wake mpya wa Computer?
Eti Boeing ndo imewaita marubani 200 ili wakasomee huo mfumo mpya wa Computer kwenye Boeing 737 Max 8.
Walikuwa wapi kuwafundisha siku zote? nani alikwamisha huo mpango wa ku train marubani na Kwa nini?
Marekani ina maadui wengi Duniani, uchumi wake mkubwa unatesa mataifa mengi na wanaionea wivu mno.
Haijapigwa Boeing, imepigwa Marekani kiuchumi, mataifa mengi yaliyokuwa yameagiza hizo ndege yamesitisha tenda ghafla ikiwemo China iliyokuwa imeagiza ndege 100,Nigeria zaidi ya 30,Ujerumani ,Ethiopia yenyewe ilibakiza ndege 30 sasa imesitisha.
Ni pigo kubwa Kwa uchumi wa Marekani.
Boeing kuja kuaminika tena na wateja wake siyo leo wala kesho, mission accomplished, majasusi wamevuta chao baada ya kazi ngumu yenye kutumia akili tupu.
Wakati sisi tukiwaza kuua upinzani ili watu watawale milele, ma genius wapo busy kuua umaskini ili wale bata milele.
MWISHO.
Makala ya kesho, "Nyerere alimkosea nini Mungu? ".

Sent using Jamii Forums mobile app
oohh yes kumbe we mpinzani thus why....acha huo ni UZANDIKI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo tu ulivyo sema nyerere kamkosea nini mungu umeniacha mdomo wazi wallahi
 
Barrack Obama aliwaita mkurugenzi mkuu wa CIA Leon Paneta pamoja na majenerali kadhaa wa jeshi la Marekani siku chache baada ya CIA kumtaarifu Rais Obama kuwa ,tayari maficho ya Osama waliweza kuyabaini yalipo mjini Abbotabad Pakistan.
Obama alishaurina nao jinsi ya kumpata Osama, wakaweka option tatu.
1.Kuitaarifu serikali ya Pakistani iwasaidie kumkamata Osama
2.Kuipiga mabomu nyumba waliyojihakikishia kuwa Osama anaishi humo ili isambararike na Osama afe
3.Kuivamia Pakistan kimya kimya na kisha kumuua kabisa Osama.
Option namba 1 ilipingwa Kwa hoja kwamba, serikali ya Pakistani ilijua uwepo wa Osama na Kwa hivyo kuitaarifu ingemtorosha Osama, hatimaye Obama akakiamuru kikosi maalumu na bora kabisa cha makomandoo maarufu Kwa jina la Navy Seal kuivamia Pakistan na kisha kumuua kabisa Osama ,na endapo ingetokea lolote Marekani ilikuwa tayari kuingia vitani na Pakistan.
Pamoja na misaada yote ya Marekani Kwa Pakistani lakini bado Marekani iliamini kuwa Pakistani ni adui yake tu, mara baada ya Osama kuuawa Pakistani iliwakamata raia wake kadhaa akiwemo Dr Ahmed ambao walitumiwa na CIA bila kujua ama walijua kupeleleza alipojificha Osama ndani ya Pakistan.
Boeing imehuhujumiwa na majasusi Kwa kutumia wafanyakazi wa Boeing waliojua wanachofanya au hawakujua kabisa, ni Kama lile tukio la majasusi wa North Korea waliomuua kaka yake na Rais Kim Jong Un ktk jiji, la Kuala Lumpur Malaysia .
Walikodi wasichana mmoja akiwa raia wa Vietnam na kisha wakaambiwa kuwa, kuna tukio la kucheza sinema Airport, watapewa unga kwenye leso kisha wataonyeshwa mtu wa kumpaka Huo unga usoni na baada ya kumpaka wakimbie haraka bafuni kunawa mikono.
Walilipwa kwa kazi hiyo Kumbe ilikuwa sumu Hatari waliyopewa na majasusi.
Mahakama kuu ya Malaysia imemhukumu kifungo cha miaka mitatu binti wa Vietnam baada ya upelelezi kuhakikisha kuwa ni kweli aliingizwa mkenge na majasusi.
Gazeti la New York Times la 27/03/2019 limeripot juu ya kamati ya Bunge la Congress la Marekani kuiweka kiti moto kampuni ya Boeing juu ya ajali mbili mfululizo.
Kamati ya hiyo ya Congress haikuridhika na majibu ya Boeing waliyotoa kujitetea, kamati inadai kuna maswali mengi yasiyojibika.
Kudai kwamba mfumo wa Computer uliofungwa kwenye Boeing 737 ni mpya na uliwasumbua marubani hadi kusababisha ajali hiyo ni very poor excuse.
Kusema kwamba ni mfumo wa Computer ndo tatizo ni Taarifa za awali tu lakini uchunguzi zaidi unaendelea hadi sasa bado ni fumbo gumu.
Kwanini huo mfumo mpya wa Computer marubani hawakufundishwa kabla ya kurusha hizo ndege?
Kwa mfano ndege zote za kijeshi, (fighter jets) kila aina ya ndege ni lazima kila rubani aende kozi kuisomea kabla ya kuirusha.
Rubani anayerusha Mig-21 hawezi kurusha F-16 hadi aende kozi, Rubani anayerusha F-35 hawezi kurusha Stealth Bomber hadi aende kozi .
Na hata kwa ndege za abiria nazo zinatofautiana, huwezi kurusha Boeing 377 hadi uende kozi.
Sasa ilikuwaje Boeing 737 iingie sokoni bila marubani kufundishwa mfumo wake mpya wa Computer?
Eti Boeing ndo imewaita marubani 200 ili wakasomee huo mfumo mpya wa Computer kwenye Boeing 737 Max 8.
Walikuwa wapi kuwafundisha siku zote? nani alikwamisha huo mpango wa ku train marubani na Kwa nini?
Marekani ina maadui wengi Duniani, uchumi wake mkubwa unatesa mataifa mengi na wanaionea wivu mno.
Haijapigwa Boeing, imepigwa Marekani kiuchumi, mataifa mengi yaliyokuwa yameagiza hizo ndege yamesitisha tenda ghafla ikiwemo China iliyokuwa imeagiza ndege 100,Nigeria zaidi ya 30,Ujerumani ,Ethiopia yenyewe ilibakiza ndege 30 sasa imesitisha.
Ni pigo kubwa Kwa uchumi wa Marekani.
Boeing kuja kuaminika tena na wateja wake siyo leo wala kesho, mission accomplished, majasusi wamevuta chao baada ya kazi ngumu yenye kutumia akili tupu.
Wakati sisi tukiwaza kuua upinzani ili watu watawale milele, ma genius wapo busy kuua umaskini ili wale bata milele.
MWISHO.
Makala ya kesho, "Nyerere alimkosea nini Mungu? ".

Sent using Jamii Forums mobile app
What if ni mpango wa wafanyabiashara wakubwa marekani,lengo ni kushusha hisa za Boeing sokoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapishanaga na watu wengi kwenye swala la Osama, binafsi naamini jamaa hajafa, lile ni jembe la Mmarekani, ile ni muvi ilichezwa kuihadaa dunia ili kuiondolea America aibu ya kushindwa kumkamata Osama na hapo hapo ikatumika kumpaisha black America Obama ili akubalike na wabaguzi wa rangi wazungu kwa usalama wake.
Saddam Husein alinyongwa hadharani dunia inashuhudia pamoja na kuwa hakuwa na hatia leo eti Osama alieitikisa America auwawe kimya kimya na kuzikwa baharini!!? Hao amerika walimuogopa nani anaewatisha ikiwa wangemnyonga hadharani huyo Osama? Pakistan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barrack Obama aliwaita mkurugenzi mkuu wa CIA Leon Paneta pamoja na majenerali kadhaa wa jeshi la Marekani siku chache baada ya CIA kumtaarifu Rais Obama kuwa ,tayari maficho ya Osama waliweza kuyabaini yalipo mjini Abbotabad Pakistan.
Obama alishaurina nao jinsi ya kumpata Osama, wakaweka option tatu.
1.Kuitaarifu serikali ya Pakistani iwasaidie kumkamata Osama
2.Kuipiga mabomu nyumba waliyojihakikishia kuwa Osama anaishi humo ili isambararike na Osama afe
3.Kuivamia Pakistan kimya kimya na kisha kumuua kabisa Osama.
Option namba 1 ilipingwa Kwa hoja kwamba, serikali ya Pakistani ilijua uwepo wa Osama na Kwa hivyo kuitaarifu ingemtorosha Osama, hatimaye Obama akakiamuru kikosi maalumu na bora kabisa cha makomandoo maarufu Kwa jina la Navy Seal kuivamia Pakistan na kisha kumuua kabisa Osama ,na endapo ingetokea lolote Marekani ilikuwa tayari kuingia vitani na Pakistan.
Pamoja na misaada yote ya Marekani Kwa Pakistani lakini bado Marekani iliamini kuwa Pakistani ni adui yake tu, mara baada ya Osama kuuawa Pakistani iliwakamata raia wake kadhaa akiwemo Dr Ahmed ambao walitumiwa na CIA bila kujua ama walijua kupeleleza alipojificha Osama ndani ya Pakistan.
Boeing imehuhujumiwa na majasusi Kwa kutumia wafanyakazi wa Boeing waliojua wanachofanya au hawakujua kabisa, ni Kama lile tukio la majasusi wa North Korea waliomuua kaka yake na Rais Kim Jong Un ktk jiji, la Kuala Lumpur Malaysia .
Walikodi wasichana mmoja akiwa raia wa Vietnam na kisha wakaambiwa kuwa, kuna tukio la kucheza sinema Airport, watapewa unga kwenye leso kisha wataonyeshwa mtu wa kumpaka Huo unga usoni na baada ya kumpaka wakimbie haraka bafuni kunawa mikono.
Walilipwa kwa kazi hiyo Kumbe ilikuwa sumu Hatari waliyopewa na majasusi.
Mahakama kuu ya Malaysia imemhukumu kifungo cha miaka mitatu binti wa Vietnam baada ya upelelezi kuhakikisha kuwa ni kweli aliingizwa mkenge na majasusi.
Gazeti la New York Times la 27/03/2019 limeripot juu ya kamati ya Bunge la Congress la Marekani kuiweka kiti moto kampuni ya Boeing juu ya ajali mbili mfululizo.
Kamati ya hiyo ya Congress haikuridhika na majibu ya Boeing waliyotoa kujitetea, kamati inadai kuna maswali mengi yasiyojibika.
Kudai kwamba mfumo wa Computer uliofungwa kwenye Boeing 737 ni mpya na uliwasumbua marubani hadi kusababisha ajali hiyo ni very poor excuse.
Kusema kwamba ni mfumo wa Computer ndo tatizo ni Taarifa za awali tu lakini uchunguzi zaidi unaendelea hadi sasa bado ni fumbo gumu.
Kwanini huo mfumo mpya wa Computer marubani hawakufundishwa kabla ya kurusha hizo ndege?
Kwa mfano ndege zote za kijeshi, (fighter jets) kila aina ya ndege ni lazima kila rubani aende kozi kuisomea kabla ya kuirusha.
Rubani anayerusha Mig-21 hawezi kurusha F-16 hadi aende kozi, Rubani anayerusha F-35 hawezi kurusha Stealth Bomber hadi aende kozi .
Na hata kwa ndege za abiria nazo zinatofautiana, huwezi kurusha Boeing 377 hadi uende kozi.
Sasa ilikuwaje Boeing 737 iingie sokoni bila marubani kufundishwa mfumo wake mpya wa Computer?
Eti Boeing ndo imewaita marubani 200 ili wakasomee huo mfumo mpya wa Computer kwenye Boeing 737 Max 8.
Walikuwa wapi kuwafundisha siku zote? nani alikwamisha huo mpango wa ku train marubani na Kwa nini?
Marekani ina maadui wengi Duniani, uchumi wake mkubwa unatesa mataifa mengi na wanaionea wivu mno.
Haijapigwa Boeing, imepigwa Marekani kiuchumi, mataifa mengi yaliyokuwa yameagiza hizo ndege yamesitisha tenda ghafla ikiwemo China iliyokuwa imeagiza ndege 100,Nigeria zaidi ya 30,Ujerumani ,Ethiopia yenyewe ilibakiza ndege 30 sasa imesitisha.
Ni pigo kubwa Kwa uchumi wa Marekani.
Boeing kuja kuaminika tena na wateja wake siyo leo wala kesho, mission accomplished, majasusi wamevuta chao baada ya kazi ngumu yenye kutumia akili tupu.
Wakati sisi tukiwaza kuua upinzani ili watu watawale milele, ma genius wapo busy kuua umaskini ili wale bata milele.
MWISHO.
Makala ya kesho, "Nyerere alimkosea nini Mungu? ".

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa makala hii, naomba nielewe kitu kimoja, je shida ilikuwa ni injini au position ya injini kuvuruga angle of attack hatimaye vertical airspeed ikaathirika. Swali ni je, huu ujasusi ulianzia kwenye 1. Design (engine position on the wings), 2.Or programming MCAS (Maneuvering Characteristics Augmention System). 3.Training ya pilots kuhusu MCAS.
Swali la mwisho, are they reprogramming MCAS au they are training pilots to use MCAS?
 

Attachments

  • Shocking New Theory On Ethiopian Airlines.mp4
    25.2 MB
Ahsante kwa makala hii, naomba nielewe kitu kimoja, je shida ilikuwa ni injini au position ya injini kuvuruga angle of attack hatimaye vertical airspeed ikaathirika. Swali ni je, huu ujasusi ulianzia kwenye 1. Design (engine position on the wings), 2.Or programming MCAS (Maneuvering Characteristics Augmention System). 3.Training ya pilots kuhusu MCAS.
Swali la mwisho, are they reprogramming MCAS au they are training pilots to use MCAS?
Ahsante kwa makala hii, naomba nielewe kitu kimoja, je shida ilikuwa ni injini au position ya injini kuvuruga angle of attack hatimaye vertical airspeed ikaathirika. Swali ni je, huu ujasusi ulianzia kwenye 1. Design (engine position on the wings), 2.Or programming MCAS (Maneuvering Characteristics Augmention System). 3.Training ya pilots kuhusu MCAS.
Swali la mwisho, are they reprogramming MCAS au they are training pilots to use MCAS?


Asante kwa habari hii ya ki uchunguzi...Lakini tatizo ni la kiufundi zaidi kuliko la kijajusi kama makala hii ilivyo elezea.

Kwa wenye ufahamu wa elimu ya uhandisi hasa “Controls and Automation” wanaweza kulielewa tatizo hili kwa undani zaidi.

Kumbuka Hii ni teknologia ambayo Boeing wanajaribu kuitumia kwenye ndege zao mpya kujaribu kuepuka tatizo la “engine/compressor stalling”. Tatizo hili linapotokea engine ya ndege inapoteza nguvu/thrust na hivyo inaweza kusababisha madhara kwenye engine yenyewe na eventually kwenye ndege.

Sensor zinapima ndege iko kwenye angle yako na kupeleka signal kwenye computer ambayo ndio iko programmed kufanya maamuzi...kwa Boeing nadhani iwapo computer ina detect ndege iko zaidi ya 10 degree up then it Automatically reduce the inclination. Kumbuka high inclination may cause the engine to stall.

Sasa sensor zilizokuwa zimekuwa installed kwenye ndege zilikuwa na matatizo kama zilizo sensor nyingine zozote. Zilikuwa zinapeleka data ambazo zinaonyesha ndege imeinuka saana na hivyo computer inarekebisha mwinuko huo na eventually ndege inajikuta the nose is point down na hivyo kusabisha ndege kuanguka.

Wahandisi wa Boeing ni wahusika wakuu katika tatizo hili .
Kwanza, kwa system kama hii mara nyingi unatakiwa kuwa na sensor zaidi ya moja (redundancy) ambazo utalinganisha data kutoka kwenye sensor zote kabla ya computer kufanya maamuzi.

Pili, usalama ni kipaumbele siku zote na huduma za usalama w chombo ulitakiwa uwe bure pale mteja anaponunua na sio kumcharge zaidi.

Tatu, Advance notice kwa marubani kabla ya computer kufanya maamuzi hasa kwenye Systems ambazo ni mpya.

Natumai kwa uelewa mdogo nimeweza kutoa mwanga.
 
Asante kwa habari hii ya ki uchunguzi...Lakini tatizo ni la kiufundi zaidi kuliko la kijajusi kama makala hii ilivyo elezea.

Kwa wenye ufahamu wa elimu ya uhandisi hasa “Controls and Automation” wanaweza kulielewa tatizo hili kwa undani zaidi.

Kumbuka Hii ni teknologia ambayo Boeing wanajaribu kuitumia kwenye ndege zao mpya kujaribu kuepuka tatizo la “engine/compressor stalling”. Tatizo hili linapotokea engine ya ndege inapoteza nguvu/thrust na hivyo inaweza kusababisha madhara kwenye engine yenyewe na eventually kwenye ndege.

Sensor zinapima ndege iko kwenye angle yako na kupeleka signal kwenye computer ambayo ndio iko programmed kufanya maamuzi...kwa Boeing nadhani iwapo computer ina detect ndege iko zaidi ya 10 degree up then it Automatically reduce the inclination. Kumbuka high inclination may cause the engine to stall.

Sasa sensor zilizokuwa zimekuwa installed kwenye ndege zilikuwa na matatizo kama zilizo sensor nyingine zozote. Zilikuwa zinapeleka data ambazo zinaonyesha ndege imeinuka saana na hivyo computer inarekebisha mwinuko huo na eventually ndege inajikuta the nose is point down na hivyo kusabisha ndege kuanguka.

Wahandisi wa Boeing ni wahusika wakuu katika tatizo hili .
Kwanza, kwa system kama hii mara nyingi unatakiwa kuwa na sensor zaidi ya moja (redundancy) ambazo utalinganisha data kutoka kwenye sensor zote kabla ya computer kufanya maamuzi.

Pili, usalama ni kipaumbele siku zote na huduma za usalama w chombo ulitakiwa uwe bure pale mteja anaponunua na sio kumcharge zaidi.

Tatu, Advance notice kwa marubani kabla ya computer kufanya maamuzi hasa kwenye Systems ambazo ni mpya.

Natumai kwa uelewa mdogo nimeweza kutoa mwanga.
Ahsante kwa maelezo hayo, sababu ya ujasusi ni ya kufikirika nadhani, kuna makala nyingine ambayo ni official and it is very interesting;


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh huu ujasusi kila sehem upo! Yaani ni kama vile oxygen, you can't run away from it
 
Barrack Obama aliwaita mkurugenzi mkuu wa CIA Leon Paneta pamoja na majenerali kadhaa wa jeshi la Marekani siku chache baada ya CIA kumtaarifu Rais Obama kuwa ,tayari maficho ya Osama waliweza kuyabaini yalipo mjini Abbotabad Pakistan.
Obama alishaurina nao jinsi ya kumpata Osama, wakaweka option tatu.
1.Kuitaarifu serikali ya Pakistani iwasaidie kumkamata Osama
2.Kuipiga mabomu nyumba waliyojihakikishia kuwa Osama anaishi humo ili isambararike na Osama afe
3.Kuivamia Pakistan kimya kimya na kisha kumuua kabisa Osama.
Option namba 1 ilipingwa Kwa hoja kwamba, serikali ya Pakistani ilijua uwepo wa Osama na Kwa hivyo kuitaarifu ingemtorosha Osama, hatimaye Obama akakiamuru kikosi maalumu na bora kabisa cha makomandoo maarufu Kwa jina la Navy Seal kuivamia Pakistan na kisha kumuua kabisa Osama ,na endapo ingetokea lolote Marekani ilikuwa tayari kuingia vitani na Pakistan.
Pamoja na misaada yote ya Marekani Kwa Pakistani lakini bado Marekani iliamini kuwa Pakistani ni adui yake tu, mara baada ya Osama kuuawa Pakistani iliwakamata raia wake kadhaa akiwemo Dr Ahmed ambao walitumiwa na CIA bila kujua ama walijua kupeleleza alipojificha Osama ndani ya Pakistan.
Boeing imehuhujumiwa na majasusi Kwa kutumia wafanyakazi wa Boeing waliojua wanachofanya au hawakujua kabisa, ni Kama lile tukio la majasusi wa North Korea waliomuua kaka yake na Rais Kim Jong Un ktk jiji, la Kuala Lumpur Malaysia .
Walikodi wasichana mmoja akiwa raia wa Vietnam na kisha wakaambiwa kuwa, kuna tukio la kucheza sinema Airport, watapewa unga kwenye leso kisha wataonyeshwa mtu wa kumpaka Huo unga usoni na baada ya kumpaka wakimbie haraka bafuni kunawa mikono.
Walilipwa kwa kazi hiyo Kumbe ilikuwa sumu Hatari waliyopewa na majasusi.
Mahakama kuu ya Malaysia imemhukumu kifungo cha miaka mitatu binti wa Vietnam baada ya upelelezi kuhakikisha kuwa ni kweli aliingizwa mkenge na majasusi.
Gazeti la New York Times la 27/03/2019 limeripot juu ya kamati ya Bunge la Congress la Marekani kuiweka kiti moto kampuni ya Boeing juu ya ajali mbili mfululizo.
Kamati ya hiyo ya Congress haikuridhika na majibu ya Boeing waliyotoa kujitetea, kamati inadai kuna maswali mengi yasiyojibika.
Kudai kwamba mfumo wa Computer uliofungwa kwenye Boeing 737 ni mpya na uliwasumbua marubani hadi kusababisha ajali hiyo ni very poor excuse.
Kusema kwamba ni mfumo wa Computer ndo tatizo ni Taarifa za awali tu lakini uchunguzi zaidi unaendelea hadi sasa bado ni fumbo gumu.
Kwanini huo mfumo mpya wa Computer marubani hawakufundishwa kabla ya kurusha hizo ndege?
Kwa mfano ndege zote za kijeshi, (fighter jets) kila aina ya ndege ni lazima kila rubani aende kozi kuisomea kabla ya kuirusha.
Rubani anayerusha Mig-21 hawezi kurusha F-16 hadi aende kozi, Rubani anayerusha F-35 hawezi kurusha Stealth Bomber hadi aende kozi .
Na hata kwa ndege za abiria nazo zinatofautiana, huwezi kurusha Boeing 377 hadi uende kozi.
Sasa ilikuwaje Boeing 737 iingie sokoni bila marubani kufundishwa mfumo wake mpya wa Computer?
Eti Boeing ndo imewaita marubani 200 ili wakasomee huo mfumo mpya wa Computer kwenye Boeing 737 Max 8.
Walikuwa wapi kuwafundisha siku zote? nani alikwamisha huo mpango wa ku train marubani na Kwa nini?
Marekani ina maadui wengi Duniani, uchumi wake mkubwa unatesa mataifa mengi na wanaionea wivu mno.
Haijapigwa Boeing, imepigwa Marekani kiuchumi, mataifa mengi yaliyokuwa yameagiza hizo ndege yamesitisha tenda ghafla ikiwemo China iliyokuwa imeagiza ndege 100,Nigeria zaidi ya 30,Ujerumani ,Ethiopia yenyewe ilibakiza ndege 30 sasa imesitisha.
Ni pigo kubwa Kwa uchumi wa Marekani.
Boeing kuja kuaminika tena na wateja wake siyo leo wala kesho, mission accomplished, majasusi wamevuta chao baada ya kazi ngumu yenye kutumia akili tupu.
Wakati sisi tukiwaza kuua upinzani ili watu watawale milele, ma genius wapo busy kuua umaskini ili wale bata milele.
MWISHO.
Makala ya kesho, "Nyerere alimkosea nini Mungu? ".

Sent using Jamii Forums mobile app
shukrani boss
 
Dah! Shemeji Nawaonea huruma sana hao wanafunzi unao wafundisha hapo shule ya msingi Tegeta.
Hakika wanakazi kweli kukuelewa.
Mara Obama,mara Osama, Mandege, Upinzani.....
Mmh! hatar tupu
 
Back
Top Bottom