masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
View attachment 59996
Temeke kwa malori ni balaa!
Sijui Mbunge wake Mh Mtemvu analiona hili au la.
Malori yanapark mpaka barabarani na mengine wafundi wana overhaul injini bila wasiwasi katikati ya barabara.
Hii ni kero, hebu angalia watu wanalazimika kupita barabarani huku malori yameegeshwa kote kote.
Temeke kwa malori ni balaa!
Sijui Mbunge wake Mh Mtemvu analiona hili au la.
Malori yanapark mpaka barabarani na mengine wafundi wana overhaul injini bila wasiwasi katikati ya barabara.
Hii ni kero, hebu angalia watu wanalazimika kupita barabarani huku malori yameegeshwa kote kote.