Ukisoma hiyo interview ya putin utaelewa kuwa putini anapalilia sana Nato ipasuke ikipasuka Nato lazima nato ya ulaya pia itapasuka kuna watakaomua kuendelea kuwa sehemu ya USA kuna watakaomua kujitoa kabisa
Urusi hawezi kuwa rafiki wa kweli wa bara la ulaya, urusi ni adui mkubwa wa ulaya huyu lengo lake ni kuivuruga