Paris inawaka moto...


More than 12,000 arrested in unprecedented France riots
 
Mm naamini wazungu ni watu wenye akili sana/ Marekani/Russia naamini wanatumia akili nyingi sana wanapo taka kufanya mission zao... Kama Russia au Marekani wanaweza kuwa wapo nyuma ya haya maandamano ya kumtoa Macro madarakani waha jamaa wanatumia njia ambazo hawataacha ushahidi kuepuka kulaumiwa na jumuiya za kimataifa,

Unaweza ukajiuliza nani aliyemshauri Macro aziondoe hizo kodi, wanajua wakifanya njia gani ndiyo itakuwa njia rahisi ya kumtoa ni kupandikiza vitu vitakavyo igusa jamii ya wengi
 
Nilisikia Macron leo anaongea na Taifa! Vipi tayari kashaongea?
 
You have got a clue.
Thumb up..
 
Tutolee ujinga hapa.
Watu toleo la kwanza walikuwa weusi tii.
Na walitokea maeneo ya Tz/Kenya
Acha kuweka dhahania kichwani mwako una ushahidi wa uumbaji? Nyangumi wewe!
 
Acha kuweka dhahania kichwani mwako una ushahidi wa uumbaji? Nyangumi wewe!
Oldest human fossil ilipatikana wapi mburula wewe. Unapajua olduvai gorge au unapasikia.
Brain washed nincompoop.
 
Nyau wa bar wewe! Ni mafuvu mangapi kila leo yanaokotwa na kusemekana yaliishi mamilioni ya miaka iliyopita!

Baada la Olduvai kuna fuvu lingine limeokotwa lenye umri sawa na hilo hayo maeneo? Na kama hakuna fuvu lingine huyo mmeo aliishi Olduvai mwenyewe Acha kukaririshwa shoga la nyau!
Oldest human fossil ilipatikana wapi mburula wewe. Unapajua olduvai gorge au unapasikia.
Brain washed nincompoop.
 
Mburula wa hovyo, kasome history au nenda kwa hao waume zako wa kizungu, hamisha na wenzako wote mkachezewe vinyeo vyenu maana mna mahaba ya dhati kwao.
Unaelewa maana ya the oldest human fossil? Inamaana hiyo mifupa yote iliyookotwa inayookotwa ya binadamu, hakuna inayomzidi miaka ya aliyeokotwa olduvai gorge r chuga hapo.
 
Nyau wa bar! Hiyo historia ya Olduvai si imeandikwa na huyo mzungu ambaye leo unaona ni mjinga!

Kilimanjaro ulikuwa hapo miaka nenda rudi kama mngekuwa na akili za kujijua si ungeugundua, historia zote unazosoma zimeandikwa na wao wazungu kwahiyo usijifanye kichaa kwa kuwapinga ile hali unatumia historia zao kuhadaa watu.

Bila na wao kukudanganya kuwa binadamu wa kwanza aliishi Tanzania ungejua lolote?

Akili yako ina vimelea vya kisonono huwezi kujitambua.
 
Mzungu ni mzungu tu. Hawa watu ni toleo la kwanza kabisa hatuwezi kushindana nao.

Hivi ingekuwa hayo yanafanyika Uganda tungekuwa na marehemu wangapi hadi sasa? Acheni wazungu waitwe wazungu.
Wao walishamaliza hii stage tuliyonayo enzi za Napoleon ambaye aliwasumbua sana Europe karibu yote kwa vita.

Jamaa alikuwa mtu mfupi sana alileta maneno maneno mengi mengi
 
Tanzania magufuli anaogopwa ukiandamana unauawa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…