Paris Attacks:The West is reaping the hate it planted in the Middle East.

Paris Attacks:The West is reaping the hate it planted in the Middle East.

Status
Not open for further replies.
Ni kweli kabisa.
Ukitazama hayo machafuko ya Middle East utadhani ni utani, lakini hao "wakimbizi" wamevaa vizuri sana na wana hela zao za kula.
Nia yao ni kwenda Ulaya tu, sijasikia wanaokimbilia kwa waarabu wenzao au Afrika!!

Ulitaka wakimbilie kwa waarabu wenzao?...We unafkir wanaaminiana kwa kiasi hicho?....Situ zote mkimbizi anakimbilia pale ambapo ataishi kwa aman kwa muda mrefu na hatokimbia tena....we unafkir nchi za kiarabu wanaamika kiasi hicho?....ulaya ndo wanakooma kma pepo yao
 
Ulitaka wakimbilie kwa waarabu wenzao?...We unafkir wanaaminiana kwa kiasi hicho?....Situ zote mkimbizi anakimbilia pale ambapo ataishi kwa aman kwa muda mrefu na hatokimbia tena....we unafkir nchi za kiarabu wanaamika kiasi hicho?....ulaya ndo wanakooma kma pepo yao
Unaweza kuwa uko sawa au umekosea kabisa!
Naki kwakwambia Ulaya ndo kuna amani ya kujiachia mtu kivile?
Kwa nini hawaendi Misri, Jordad, Lebanon, Tunisia waliokaribu, au Nchi za kiafrika zilizo na amani.

Wao wanataka kwenda chi za ulaya zilizo na misingi ya demokrasia lakini ya kujdanganya.
Kinachowapeleka kule ni maisha mazuri, na kwa lugha nyingine hao ni economic refugees.

Zaidi ya hapo waarabu wenzao wanajua sana jinsi ya kuwadhibiti, pindi wakileta za kuleta.
Na kwa vike ni waislamu, ningetegemea waende zaidi kule Saudia.
 
Kwa akili ya kawaida unaweza kuona nchi za Magharibi wanafuata masilahi yao ya kiuchumi Middle East, hasa mafuta na kueneza ustaarabu wa kizungu kule kwa waarabu...kumbuka ni pembe ya dunia pekee ambayo inaonekana kung'ang'ania ustaarabu wake wa zamani kuliko sehemu nyingine za dunia#

Hilo la ustaarabu siiono matiki yake, kwa hiyo wanashambuliwa na kuuliwa ili wabadili Uarabu wao?

Maana ya ustaarabu:

Neno "usta" Kiarabu linatakona na neno "wasta" (influence). Na Arab ni Waarabu.

Kwa hiyo ukisema tena Waaarabu wana ustaarabu utakuwa hutendi haki. Wenye ustaarabu ni wale wasio Waarabu lakini wana Arab Influence aka ustaarabu, mfano mzuri ni hapa kwetu Tanzania, tuna ustaarabu mkubwa sana.
 
It takes two to Tango.

Sababu zinaweza kuwa ni nyingi sana.

Cha kujiuliza, kwanini Saddam alipinduliwa kwa nguvu za magharibi? Kwanini Gaddafi alipinduliwa kwa nguvu za magharibi? Kwanini leo Syria wanauana kwa nguvu za magharibi?

Kwanini Afghanistan ilishambuliwa kwa nguvu za magharibi?

Hao wote niliowataja sijaona sababu ya maana na ya ukweli kwa kushambuliwa na kuuawa wao na raia zao, jee wewe unaijuwa?

Usisahau, mpaka leo hii nchi za magharibi ndizo zinalinda amani huko nilipopataja!

Nionavyo, mashambulizi kama haya hayatasita leo wala kesho, mpaka dunia iwe na ukweli.

Mimi najua.1.Saddamu alipinduliwa kwa nguvu za Magharibi kwa sababu aliivamia Kuwait.Kumbuka Kuwait ilikuwa na Maslahi na Mikataba Minono ya Mafuta na Marekani hivyo Iraq ilivamiwa ili isihujumu Maslahi ya Marekani.Ni sawa na Tanzania ilipompindua Idd Amin ili kulinda Kyaka isichukuliwe na Uganda. 2.Ghadafi alipinduliwa na Magharibi kwa sababu alikuwa Dikteta.Yeye na Familia yake ndio walijifanya kuimiliki Libya.Kulingana na Demokrasia ya Magharibi ambayo ndio inatawala Dunia ni kosa kubwa kujimilikisha Nchi na Familia yako.Kibaya zaidi alijifanya ana nguvu za kupambana na Mataifa makubwa ya ulaya na Marekani kiasi kwamba alituma Magaidi kutungua ndege Lockeby.Ilibidi wamwonyeshe kwamba wao ndio wababe.Ni sawa na CUF ikijitia kupambana na CCM inaweza kulia na kusaga meno. 4.Syria wanauwana kwa sababu Rais Assad ameminya Demokrasia na anadhulumu wapinzani hivyo wamepewa msaada na Mataifa ya Magharibi ili kuiondea serikali ya Assad na wakati huohuo Russia inamsaidia Assad kwa sababu haitaki Mataifa ya Magharibi yazidishe ushawishi kwa majirani zake.Ni sawa na CCM inavyosaidiwa na Chama Rafiki cha ukombozi wa China na CHADEMA inavyosaidiwa na Chama rafiki cha Christian Democrat. 4.Afghanistani ilishambuliwa na Magharibi kwa sababu ilikuwa imemhifadhi Gaidi namba Moja Duniani OSSAMA BIN LADEN ambae alikuwa anatishia usalama wa Dunia.Ni sawa na Tanzania na nchi washirika walivyoenda kufurumusha kikundi cha M 2 huko CONGO.
 
Mimi najua.1.Saddamu alipinduliwa kwa nguvu za Magharibi kwa sababu aliivamia Kuwait.Kumbuka Kuwait ilikuwa na Maslahi na Mikataba Minono ya Mafuta na Marekani hivyo Iraq ilivamiwa ili isihujumu Maslahi ya Marekani.Ni sawa na Tanzania ilipompindua Idd Amin ili kulinda Kyaka isichukuliwe na Uganda. 2.Ghadafi alipinduliwa na Magharibi kwa sababu alikuwa Dikteta.Yeye na Familia yake ndio walijifanya kuimiliki Libya.Kulingana na Demokrasia ya Magharibi ambayo ndio inatawala Dunia ni kosa kubwa kujimilikisha Nchi na Familia yako.Kibaya zaidi alijifanya ana nguvu za kupambana na Mataifa makubwa ya ulaya na Marekani kiasi kwamba alituma Magaidi kutungua ndege Lockeby.Ilibidi wamwonyeshe kwamba wao ndio wababe.Ni sawa na CUF ikijitia kupambana na CCM inaweza kulia na kusaga meno. 4.Syria wanauwana kwa sababu Rais Assad ameminya Demokrasia na anadhulumu wapinzani hivyo wamepewa msaada na Mataifa ya Magharibi ili kuiondea serikali ya Assad na wakati huohuo Russia inamsaidia Assad kwa sababu haitaki Mataifa ya Magharibi yazidishe ushawishi kwa majirani zake.Ni sawa na CCM inavyosaidiwa na Chama Rafiki cha ukombozi wa China na CHADEMA inavyosaidiwa na Chama rafiki cha Christian Democrat. 4.Afghanistani ilishambuliwa na Magharibi kwa sababu ilikuwa imemhifadhi Gaidi namba Moja Duniani OSSAMA BIN LADEN ambae alikuwa anatishia usalama wa Dunia.Ni sawa na Tanzania na nchi washirika walivyoenda kufurumusha kikundi cha M 2 huko CONGO.
Mkuu umekuwa sucked in na propaganda machine ya magharibi.

Wanachokuambia na wewe changanya na zako.
Operation Desert Storm kweli ilikuwa kuisaidia Kuwait kumwondoa Saddam nchini Kuwait.
Lakini hadithi za Weapons of Mass Destruction, hata wao wa Magharibi sasa wanatambua ilikuwa maghirini tu ya kuicontrol Iraq.
Walitumi WMD kama sababu ya kumuua na kuiangamiza Iraq.
Sasa ni kweli wamemuondoa Saddam, are they any safe?
Matukio kama ya Paris ndo tunayaona, Uingereza tunaona wanavyohamanika.
Uongo haulipi!
 
Mkuu umekuwa sucked in na propaganda machine ya magharibi.

Wanachokuambia na wewe changanya na zako.
Operation Desert Storm kweli ilikuwa kuisaidia Kuwait kumwondoa Saddam nchini Kuwait.
Lakini hadithi za Weapons of Mass Destruction, hata wao wa Magharibi sasa wanatambua ilikuwa maghirini tu ya kuicontrol Iraq.
Walitumi WMD kama sababu ya kumuua na kuiangamiza Iraq.
Sasa ni kweli wamemuondoa Saddam, are they any safe?
Matukio kama ya Paris ndo tunayaona, Uingereza tunaona wanavyohamanika.
Uongo haulipi!

Wewe ndio unaleta kitu kipya.Mimi nimekwambia sababu ya kumwondoa Saddam ni kulinda maslahi yake kule Kuwait.Hizo sababu za WMD ni za kwako ndio ambazo inabidi ujiongeze mimi sijazisema.Sababu kuu ni MASLAHI.
 
Mimi najua.1.Saddamu alipinduliwa kwa nguvu za Magharibi kwa sababu aliivamia Kuwait.Kumbuka Kuwait ilikuwa na Maslahi na Mikataba Minono ya Mafuta na Marekani hivyo Iraq ilivamiwa ili isihujumu Maslahi ya Marekani.Ni sawa na Tanzania ilipompindua Idd Amin ili kulinda Kyaka isichukuliwe na Uganda .

Unayoiongelea wewe ni 1st Gulf war. Wazungu waliingia kwa sababu ya kuirudisha Kuwait na mikataba ikasainiwa na Saddam hakuondolewa wakati huo wala hakushinikizwa aondolewe na ilikuwa wakati wa George Bush wa kwanza.

Miaka mingi baadae ni sababu zipi zilimplekea George Bush wa pili kuivamia Iraq na kuuwa raia wengi sana mpaka na kumuuwa Saddam?

Habari za Tanzania na Uganda hapa hazihusiki. Usijaribu kubadili mada.

Kuwa mkweli.

Jaribu kuandika kwa paragraph ili usomeke vizuri.
 
2.Ghadafi alipinduliwa na Magharibi kwa sababu alikuwa Dikteta.Yeye na Familia yake ndio walijifanya kuimiliki Libya.Kulingana na Demokrasia ya Magharibi ambayo ndio inatawala Dunia ni kosa kubwa kujimilikisha Nchi na Familia yako.Kibaya zaidi alijifanya ana nguvu za kupambana na Mataifa makubwa ya ulaya na Marekani kiasi kwamba alituma Magaidi kutungua ndege Lockeby.Ilibidi wamwonyeshe kwamba wao ndio wababe.Ni sawa na CUF ikijitia kupambana na CCM inaweza kulia na kusaga meno.

Kuwa mkweli, sasa maisha ya Libya wakati wa "dikteta" na sassa yepi bora?

Magharibi haiajatawala dunia, labda imekutawala wewe fikra zako. Ingekuwa imetawala dunia tusingeona vifo vya vita duniani.

Wewe umetawaliwa na magharibi?
 
4.Afghanistani ilishambuliwa na Magharibi kwa sababu ilikuwa imemhifadhi Gaidi namba Moja Duniani OSSAMA BIN LADEN ambae alikuwa anatishia usalama wa Dunia.Ni sawa na Tanzania na nchi washirika walivyoenda kufurumusha kikundi cha M 2 huko CONGO.

Nnaona umerukia namba 4, wakati tatu hujaweka. Punguza kiherehere.

Osama yupo hai leo hii? Mbona bado wapo huko?

Huyo Osama unaemuongelea ndiyo yule yule aliyekuwa anapewa misaada na USA kuwashambulia Warusi au mwengine?

Unazikumbuka Stinger?
 
Unayoiongelea wewe ni 1st Gulf war. Wazungu waliingia kwa sababu ya kuirudisha Kuwait na mikataba ikasainiwa na Saddam hakuondolewa wakati huo wala hakushinikizwa aondolewe na ilikuwa wakati wa George Bush wa kwanza.

Miaka mingi baadae ni sababu zipi zilimplekea George Bush wa pili kuivamia Iraq na kuuwa raia wengi sana mpaka na kumuuwa Saddam?

Habari za Tanzania na Uganda hapa hazihusiki. Usijaribu kubadili mada.

Kuwa mkweli.

Jaribu kuandika kwa paragraph ili usomeke vizuri.

Ninachoandika ndicho ninachomaanisha na msitake kunilisha maneno.Marekani chini ya George Bush Jnr hawakujiona salama kimaslahi kama Saadam Hussein ataendelea kuwepo Madarakani.Waliamini Saadam hatabiriki na ni bora wamtoe Madarakani mapema badala ya kuendelea kumtumainia mkorofi ambaye dakika yoyote anaweza kutishia maslahi yao huko Mashariki ya kati.Hizo propaganda zingine zilikuwa za kuwachanganya watu akili tu.Kumbukeni kila Binadamu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Kuwa mkweli, sasa maisha ya Libya wakati wa "dikteta" na sassa yepi bora?

Magharibi haiajatawala dunia, labda imekutawala wewe fikra zako. Ingekuwa imetawala dunia tusingeona vifo vya vita duniani.

Wewe umetawaliwa na magharibi?
1.Maisha ya Marekani kwa sasa ni bora kuliko Enzi ya Ghadafi kwa sababu hawana mtu wa kuhofia huko Libya.Kama walibya wenyewe wameamua kuendelea kuuana hilo ni jukumu lao. 2.Ni Punguani Pekee anayeweza kusema Magharibi haijaitawala Dunia.Angalia kuanzia Kalenda tunazotumia,Sheria mfano mke mmoja tu ndie anayetambuliwa kiserikali,Sheria za Ugaidi,Maandishi,Mitandao,Kujiunga na Mashirika Mbalimbali na Unyenyekevu wa mataifa yetu kwao.Hata kutembelea na Obama nahesbabiwa na viongozi wetu kama ni Maendeleo.
 
Ninachoandika ndicho ninachomaanisha na msitake kunilisha maneno.Marekani chini ya George Bush Jnr hawakujiona salama kimaslahi kama Saadam Hussein ataendelea kuwepo Madarakani.Waliamini Saadam hatabiriki na ni bora wamtoe Madarakani mapema badala ya kuendelea kumtumainia mkorofi ambaye dakika yoyote anaweza kutishia maslahi yao huko Mashariki ya kati.Hizo propaganda zingine zilikuwa za kuwachanganya watu akili tu.Kumbukeni kila Binadamu anakula kwa urefu wa kamba yake.

Ndugu hujui kitu, unazidi dhihirisha, ungekaa tu kimya.
 
Nnaona umerukia namba 4, wakati tatu hujaweka. Punguza kiherehere.

Osama yupo hai leo hii? Mbona bado wapo huko?

Huyo Osama unaemuongelea ndiyo yule yule aliyekuwa anapewa misaada na USA kuwashambulia Warusi au mwengine?

Unazikumbuka Stinger?

Osama alishafariki lakini bado kuna Wafuasi wake akina Mullah Mohamed.Hawa na Wapashtun wengine wenye ushawishi lazima wadhibitiwe kabisa kabla ya kuondoka.Kitendo cha Kumfundisha na kupewa Misaada kwa Osama hakuhalalishi matendo yake maovu.Malengo yalikuwa ni kumtumia vizuri lakini alikengeuka hivyo kustahili adhabu.Ni sawa na Daktari anaetumia utaalamu wake kutolea Mimba Wanafunzi lazima aadhibiwe,huwezi kumlaumu mwalimu wake pindi akimwadhibu eti alifanya kosa kumfundisha.
 
Wewe ndio unaleta kitu kipya.Mimi nimekwambia sababu ya kumwondoa Saddam ni kulinda maslahi yake kule Kuwait.Hizo sababu za WMD ni za kwako ndio ambazo inabidi ujiongeze mimi sijazisema.Sababu kuu ni MASLAHI.
Inaelekea sababu zilizotolewa na Bush kuishambulia Iraq hujawahi kuszisikia.
Bush alimtuma Gen Colin Powell Secretry of Stae kule UN. , ili apate kibali cha kuishambulia Iraq, wakati huo Desert Storm I ilikuwa imeisha zamani chini ya General Schwartzkoff.
Gen Colin Powell alisema Saddam ana silaha za WMD ambazo ni hatari kwa hiyo inabidi ashambuliwe, katika uongo huu, Marekani walishirikiana na Uingereza.

Na huo ndo ulikuwa mwanzo wa mwisho wa Saddam, hata hivyo sababu zilizotolewa na Gen Colin Powell zilikuja kujulikana kuwa zilikuwa uongo, naye baadaye aliomba kujipisha uongozi kutokana na hilo.o
 
Ndugu hujui kitu, unazidi dhihirisha, ungekaa tu kimya.

Wewe ndio hujui kitu maana unakimbizana na mihemuko kama alivyofanya Sadamu na Ghadafi matokeo yake wamepotezwa na watoto wao wakati Akina Bush na Familia zao wakipeta.Dunia sio rahisi kama unavyofikiri wewe pamoja na Magaidi wanaohangaika kupambana na ukuta.Watarukaruka tu lakini mwisho wao ni kulipuliwa kama ilivyomtokea JIHAD JOHN majuzi.Wenyewe wanajifariji kupewa mabikira Sabini akhera.Taifa kubwa kama Marekani inatakiwa upambane nalo kwa akili na Busara kubwa lakini sio kama Magaidi wanavyofanya.Nakuhakikishia watakwisha bila kufanikiwa wakitakacho.
 
Labda ndo watakumbuka kuwa funding these groups pamoja na kuwapa silaha si jambo jema.
 
Inaelekea sababu zilizotolewa na Bush kuishambulia Iraq hujawahi kuszisikia.
Bush alimtuma Gen Colin Powell Secretry of Stae kule UN. , ili apate kibali cha kuishambulia Iraq, wakati huo Desert Storm I ilikuwa imeisha zamani chini ya General Schwartzkoff.
Gen Colin Powell alisema Saddam ana silaha za WMD ambazo ni hatari kwa hiyo inabidi ashambuliwe, katika uongo huu, Marekani walishirikiana na Uingereza.

Na huo ndo ulikuwa mwanzo wa mwisho wa Saddam, hata hivyo sababu zilizotolewa na Gen Colin Powell zilikuja kujulikana kuwa zilikuwa uongo, naye baadaye aliomba kujipisha uongozi kutokana na hilo.o

Kwanza napenda nikuhakikishie kwamba sipendi wanachokifanya Marekani lakini sipendi kabisa wanachofanya vikundi vya kigaidi kwa sababu wanayoyafanya ni ya kijinga kuliko Marekani.Hizo sababu za MWD nilishazisikia sana na ndio ilikuwa propaganda ya Bush kuhalalisha uvamizi wake Iraq.Mimi nakuhakikishia hiyo haikuwa sababu ya kuvamia Iraq bali kisingizio tu.Sababu kuu ilikuwa ni kujihakikishia Maslahi yake katika Mashariki ya Kati hususani Kuwait.Marekani haikuwa na amani hata kidogo kumuona Sadamu anaendelea kuwa Rais.Ilimwona muda wowote anaweza kuleta vurugu na kuharibu flow ya Mafuta kwenda marekani hivyo waliona wamwahi kabla hajajiandaa.Kumbuka akina Bush wana visima vya Mafuta na kwao mafuta ndio kila kitu.
 
Dunia nzima inaujua ukweli wa kinachoendelea
 

Attachments

  • 1447585073948.jpg
    1447585073948.jpg
    42.3 KB · Views: 60
  • 1447585083274.jpg
    1447585083274.jpg
    23.4 KB · Views: 59
  • 1447585093539.jpg
    1447585093539.jpg
    53.5 KB · Views: 62
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom