Tatemahunda
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 232
- 92
wa Nigeria kibao hufa siku hadi siku, sijasikia wazungu wakilani sana, leo wamekufa mia tu dunia nzima hatulali, kinachokera ni kuona sisi waafrika wenyewe mishipa imetusimama kukemea mauaji yale, mbona yakitokea kwetu wako kimya?? tuacheni kujipendekeza kwa wazungu...