ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Kwanza mtoa mada kasema ni tetesi so naomba mwenye habari za kuaminika atumwagie jamvini kama kuna ukweli wowote katika hili.Pili nadhani ni uamuzi mzuri sana na wenye busara ameuchukua huyo Dr (Kama kweli) kuliko kushawishi wenzake wagome halafu mwisho wa siku kila mtu anakufa kivyake kama hali wanayoi-face ma-intern kwa sasa.