Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,707
Kulikuwa uhondo hasa mpaka live chart room.
aiseeee ikawaje sasa wakabadilisha mfumo
Kulikuwa uhondo hasa mpaka live chart room.
Alimfanyaje Irene Mwenyewe tapel
kumbe zamani kulikuwa na thanks na sio like
Alimpeleka NRB au Mombasa akampa mshiko wake kabisa acha mtoto ajitume usiku kucha ghafla majambazi yakaingia lodge yakapora pesa yote kumbe ni washikaji zake Msofe,yaani ilikuwa nouma!
bujibuji umemchanganya na Fikiri madinda alikua dereva wa kigoda!Huwa najiuliza inakuaje mtu anagawa pesa hovyo hovyo kama alikua mpaka njia,papaa msofe,katunzi,fikiri madinda na huku hawana tangible business na tra wanawaangalia tuu!hawa wanatakiwa wakamatwe kama alivyokamatwa alex masawe na rey wa regency hotel maana walikua wafadhili wa majambazi.HIYO LIST HUJIITA MA PEDESHEE
we kweli ndumilakutatu!! Mbona nimewahi kuona uzi ukitaka kujua juu ya CV za watu, na ww ukachangia?? Au kwa sababu huwajui!!! Mkuki mtamu..........
Shangaa na ww,kazi kujifanya mwema kumbe hana lolote..na km imemtouch anywe sumu.
Pia hawa ma pedeshee huchukua binti yeyote aliye kwenye mashindano ya umiss. LUNDENGA hupewa pesa ndefu kumpa ruhusa binti kupata dinner na pedeshee!pia hili kundi hutumiwa na vigogo serikalini kuwatafutia wanawake kuwapeleka mpaka hotel,kigogo kazi yake hua kukojoa na kuondoka.pia cheque za ufisadi hupitia ktk akaunti zao.mfano kimambi muuza unga alipofariki tibaigana alilia sana!
pesa inasakwa kwa style zooote mpka watu wanapchunana ngozi
tunatoka sehemu moja huko makwetu.......Huyu papa msofe ni ndugu yako?
hivi qualification ya kuwa Papaa ni nini ....?
Kwa mwendo huu, atatoka tu, hakuna wa kumfunga..
KIMAMBI MUUZA UNGA ALIPOFARIKI TIBAIGANA ALILIA SANA, hii nimeipenda, haaaaaaaaa, mtoto wake sasa ni mpambanaji na wauza unga loooooo. WAMBEA GROUP IONENI HII JAMANI:shock:. Kw:shock:eli ulimwengu umejaa maajabu.
umeona eeeh...!!$
Nakwambia! Domo kuuuuuubwa kumbe babake ndio muanzilishi
Yeye pamoja na wafuatao chini ni matapeli wakubwa wa dhahabu na shaba feki toka Congo
Abdul Mteketa(sasa mbunge wa kilombero)
Papaa Mabeba
Ndama mtoto wa Ng'ombe
Mkenya Mmmoja akiitwa Mathias Mattako
Muzamil Katunzi
Chacha Mapessa