Kweli hata wale wasomali mzamil anaowakaribisha Mbezi ni viongozi huko kwai Somalia, je wasomali hao pesa zao zinatoka wapi.
Hivi usalama wa taifa mmelala? Mnasubiri nini mnataka ripoti gani. Nini chanzo cha wasomali hawa mbezi mbona wanauziwa viwanja vyetu na mzamili?!!! Kikwete huu urais wako ulisema hauna shea na mtu tena ukapambana na majambazi wa silaha na magari wakiwemo wakina alex masawe wa AM hotel, hilo uliweza je matapeli hawa wanakushinda nini? Au na wewe umenunuliwa?? Maana kama kumeanza uhusiano wa kuhisiwa kati ya mzamil na all shabab wataka cia waje kukulindia nchi??
Wengine humu kwenye forum ni vijana wako wa kitengo hatuna nafasi ya kukufikishia taarifa kwa ajili ya kiapo chetu, ila baadhi ya wakubwa wa kitengo ndio wanao saidiana nao na kujilimbikizia mali. Mimi nilisha pambana na mzamil sana mbezi police wote wakubwa wanalijua hili. Tena mpaka sasa malori ya fake cooper yapo mbezi na malori yame jaa. Rais wetu toa kauli haya ni magaidi wa baadaye.
Hivi usalama wa taifa mmelala? Mnasubiri nini mnataka ripoti gani. Nini chanzo cha wasomali hawa mbezi mbona wanauziwa viwanja vyetu na mzamili?!!! Kikwete huu urais wako ulisema hauna shea na mtu tena ukapambana na majambazi wa silaha na magari wakiwemo wakina alex masawe wa AM hotel, hilo uliweza je matapeli hawa wanakushinda nini? Au na wewe umenunuliwa?? Maana kama kumeanza uhusiano wa kuhisiwa kati ya mzamil na all shabab wataka cia waje kukulindia nchi??
Wengine humu kwenye forum ni vijana wako wa kitengo hatuna nafasi ya kukufikishia taarifa kwa ajili ya kiapo chetu, ila baadhi ya wakubwa wa kitengo ndio wanao saidiana nao na kujilimbikizia mali. Mimi nilisha pambana na mzamil sana mbezi police wote wakubwa wanalijua hili. Tena mpaka sasa malori ya fake cooper yapo mbezi na malori yame jaa. Rais wetu toa kauli haya ni magaidi wa baadaye.