Papa Francis atoroka Vatican usiku

ngojeni kama haijaja habari kuwa anaendaga club kujirusha basi watoto wa vatican wapo kwenye wakati mgumu kama yale mambo ya seya wa mivalo
 
Huu ni ushenzi na utampatia shida sana siku za karibuni. Huwezi kuwa mkubwa na mdogo kwa pamoja. Hapa kuna jambo limejificha. Beware Francis!
 
Hapati usingizi akifikiria maskini mitaani wanavyotaabika kwa kiu, njaa, anaamua kuacha usingizi kwenda kuwasaidia maskini, maana mchana yuko busy na ratiba za kiofisi.

Relevance ya habari hii ni ipi?
 
Ni nzuri na mbaya at the same time. Anyway, hatujui nadhiri yake alomwekea Mungu wake ni nini.
 

nina shaka...maana huyu ameanza kwa kutaka kanisa lisi wanyanyapae mashoga...sasa huku kutoroka usiku mmmhhh maswali mengi bila ya majibu
 
Vatican hamna masikini, utajiri umekufuru kwa Raia wake mia tisa tu wasiolipa kodi kila kitu bei nusu ya wanaulaya
 
Tuache kuhukumu mambo ya kunenwa tu jaribu kufanya uchunguzi.
 
vatican kuna masikini,ombaomba,duh?

Mkuu kusema ukweli hakuna masikini anayeishi Vatican. Kwa wale waliowahi kufika Vatican, Vatican ni sehemu ndogo sana ndani ya mji wa Roma ambayo imezungushiwa ukuta. Ukitoka nje ya huo ukuta, tayari upo nje ya Vatican na huko kumejaa masikini na omba omba na hasa wale wa kabila la ____(nimeasahau jina) lakini hawa sio waitaliano na hawana makazi maalumu. Kwa hiyo inaposemekana Pope anatoroka kwenda kuwasaidia masikini sio ndani ya Vatican, ni nje ya hapo.

Tiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…