Papa Francis atetea watu wanaojihisisha na Mapenzi ya jinsia moja

jebs2002

JF-Expert Member
Sep 3, 2008
8,826
7,595
Hatimaye Papa Francis akubali kubariki ndoa za jinsia moja, kwa kudai mashoga nawo ni watoto wa Mungu na hakuna sababu ya kuwabagua.

Je, makanisa Katoliki Afrika, Asia, Mexico, Brazil na kwingineko watakubaliana na uamuzi huu? Tukumbuke kwenye biblia haisomeka ndoa za jinsia moja au za ushoga kukubalika, na kusomeka kwenye hichi kitabu kitakatifu kuwa sodom na gomorrah kuchomwa moto.

Je, ndiyo mwanzo wa kanisa katoliki kuvunjika au imani zao ndiyo zitazidi?
Karibuni.

=======

Papa Francis ameviunga mkono vikundi vya harakati vinavyotetea ndoa za jinsia moja akiwa Mjini Roma wakati wa Maazimisho ya uzinduzi wa filamu iliyoitwa Fransisco.

Aidha, katika kuelezea jambo hili Papa Fransis amesema "Mashoga (Wapenzi wa jinsia Moja) wana haki ya kuwa katika familia. Wao ni watoto wa Mungu. Hakuna mtu anayepaswa kuwabagua au kufadhaishwa juu yao. "

Aliongeza kuwa wakati alipokuwa Askofu Mkuu wa Buenos Aires alipinga sheria ya kuidhinisha ndoa za jinsia moja lakini aliunga mkono aina fulani ya ulinzi wa kisheria kwa haki za wenzi wa jinsia moja.

Zaidi Soma:
Pope Francis has endorsed same-sex civil unions, saying in a documentary that homosexual people are 'children of God' and that they 'have the right to be in a family'.

His approval came midway through a feature-length film, titled Francesco, which had its premiere at the Rome Film Festival earlier today.

The film delves into issues Francis cares about most, including the environment, poverty, migration, racial and income inequality, and the people most affected by discrimination.

'Homosexual people have the right to be in a family. They are children of God. Nobody should be thrown out or be made miserable over it,' the 83-year-old said in one of his sit-down interviews for the film.

'What we have to have is a civil union law; that way they are legally covered.'

He added that he 'stood up for that' in an apparent reference to his time as archbishop of Buenos Aires when he opposed legislation to approve same sex marriages but supported some kind of legal protection for the rights of gay couples.

The Pope's remarks will come as a shock to millions of Roman Catholics who have long followed the doctrine that gay relationships are sinful and accepted the Church's stand against the worldwide advance of gay rights.

source: MailOnline
 
CNN)Pope Francis has declared support for civil unions for same-sex couples for the first time, according to the Catholic News Agency.

The Pope made the historic remarks in a new documentary film, "Francesco," which was released in Rome on Wednesday.

"Homosexual people have a right to be in a family. They're children of God and have a right to a family. Nobody should be thrown out or be made miserable over it," the Pope said in the film, the Catholic News Agency reported.

"What we have to create is a civil union law. That way they are legally covered," the Pope said.

Francis has suggested in past interviews that he is not against civil unions, but this is the first time as Pope that he has directly come out in favor of them.

As Archbishop of Buenos Aires, Francis advocated for same-sex civil unions as an alternative when Argentina was discussing whether to legalize same-sex marriage.
 
Tunaposema Papa na Roman ni tawi la Shetani ....Muwe mnatuelewa !!!!


Aya wakatoliki kazi kwenu kupigana miti waume kwa waume.

Wanawake ni wasaa wenu wa kusagana.

Lkn haya yote hatima yake ni KURUDI KWA YESU MAPEMA.


hamna Dhambi ambayo imeangamiza Dunia mara zote toka Nuhu, Sodoma na gomora kama hii ya KUFILANA NA KUSAGANA.

MUNGU ATUSAIDIE SANA.!!.
 
CNN)Pope Francis has declared support for civil unions for same-sex couples for the first time, according to the Catholic News Agency.

The Pope made the historic remarks in a new documentary film, "Francesco," which was released in Rome on Wednesday...
I can see this topic has gone viral in the social media arround the world! Celebration and thankful has emerged to some members of LGBT.

I think this is the time for Catholic Church to come and elaborate basing on the moral and Church's decision upon this issue.
 
Source please. Unless km una shida tu ya Conflict na Kanisa Katoliki

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Sasa unataka source kutoka kwangu??


Ukiwa na akili unajiongeza, wee kama mkatoliki nikweli??

Unaingia chimbo unatafuta ukweli


Shida yenu ni wavivu wakufatilia mambo mnooo kila kitu mnataka kutafuniwa.


Tafuta weee utaipata iyo ..

Kwan mtoa mada kaitoa wapi????.
 
I can see this topic has gone viral in the social media arround the world! Celebration and thankful has emerged to some members of LGBT.

I think this is the time for Catholic Church to come and elaborate basing on the moral and Church's decision upon this issue.
Ndugu yangu achana na Hawa wakuu wamakanisa

Soma maandiko , usisubiri waje wakuambie.

Soma maandiko Sheikh


Roma iliyomsulubisha Yesu, haijawahi badilika mpaka leo hiii

Ukiendelea kushupuza shingo utavunjika
 
Ndugu yangu achana na Hawa wakuu wamakanisa

Soma maandiko , usisubiri waje wakuambie.

Soma maandiko Sheikh


Roma iliyomsulubisha Yesu, haijawahi badilika mpaka leo hiii

Ukiendelea kushupuza shingo utavunjika
Mkuu unalosema ni kweli! Lakin kumbuka yule ni Baba mtakatifu influence yake ni kubwa sana katika ulimwengu wa kiroho.
Itoshe kusema kama kweli hii habari ni ya kweli, kuna haja ya kujiongeza zaidi ya hapa nilipo, maana nilishajiongeza kitambo
 
Wengine tulisema na tukaonya, jamani ukristu ni wa wazungu, ni wao, wanaweza badili namna ya kuamini na kuomba, nyie waafrika hasa mkitaka poa mkikataa shauri yenu, watu wakabisha mpaka mapovu, sasa hawai hawai yamefika, je watajitenga wasiotaka ya papa francis au watarudi kuabudu mizimu yetu ya mababu?!
 
Back
Top Bottom