Panya Watatu

ELNIN0

JF-Expert Member
Nov 26, 2009
4,161
1,460
Panya watatu walikuwa na ubishi kati yao kwamba nani ni mkali kati yao?

Panya no 1: Mimi naweza kutegua mitego yoyote ile sishindwi kitu.
Panya no 2: Mimi naweza kunywa maziwa yenye sumu bila kudhurika chochote.
Panya no 3: Yeye aliamua kuondoka kimya kimya tu bila kusema kitu wale wenzie wakamuuliza kulikoni mwenzetu mbona unaondoka tu bila kusema kitu?
Panya no 3: Akawaangalia akatikisa kichwa akawaambia " sasa mimi naenda kum- do paka kinyume na maumbile.

Nani atakuwa amewashida wenzake?
 
Panya watatu walikuwa na ubishi kati yao kwamba nani ni mkali kati yao?

Panya no 1: Mimi naweza kutegua mitego yoyote ile sishindwi kitu.
Panya no 2: Mimi naweza kunywa maziwa yenye sumu bila kudhurika chochote.
Panya no 3: Yeye aliamua kuondoka kimya kimya tu bila kusema kitu wale wenzie wakamuuliza kulikoni mwenzetu mbona unaondoka tu bila kusema kitu?
Panya no 3: Akawaangalia akatikisa kichwa akawaambia " sasa mimi naenda kum- do paka kinyume na maumbile.

Nani atakuwa amewashida wenzake?
Panya mkubwa wee!!
 
Back
Top Bottom