Mbona napita sana pande hizo mkuu? Kuna uzi niliwahi kuuweka humu ndani kuhusu safari yangu ya Buguruni.ngoja niutafute kwanza.Na we kama kidume nenda buguruni..
Itakua Lorya au Tarimehiyo ni ukonga ama RORYA?
Wawachezee wengine lakini si pande zetu huku!Waliwahi kwenda Kitunda, wakakatwa miguu wawili,
Wengine walibahatika kukimbia,
Sijasikia tena cha Panya road wala Mbwa mwitu,
Chezeya Wakurya weweee.