bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
'Panya watatu wabishana
nani bigwa; wakwanza adai
mimi maisha yangu yote
nimeishi kuiba store lakini
cja wahi kushikwa,wapili
adai wacha hiyo mimi nimekunywa sumu mara
kadhaa na cja kufa,wa tatu
aagua kicheko kisha adai
sasa nyinyi mnasema nini
mimi niko mpaka na mimba
ya paka!!'
nani bigwa; wakwanza adai
mimi maisha yangu yote
nimeishi kuiba store lakini
cja wahi kushikwa,wapili
adai wacha hiyo mimi nimekunywa sumu mara
kadhaa na cja kufa,wa tatu
aagua kicheko kisha adai
sasa nyinyi mnasema nini
mimi niko mpaka na mimba
ya paka!!'