thadei kimambo
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 220
- 126
PANUA! ~ naogopa!,PANUA~ naogopa!`` Ni maneno yaliyosikika kutoka chumbani na kumfanya mpita njia asimame na kujisogeza karibu na dirisha ili kusikiliza vzuri...?PANUA! naogopa bwana!,~ Kwanini unaogopa?,~Nitatokwa na damu nyingi.Jikaze basi kwani hujawahi hata siku moja tokea uzaliwe?,~Ndio tokea nizaliwe sijawahi kung'oa jino``.Mpita njia akakasirika:~ahh! kumbe hii hospitali,tunatiana presha bure wehu nyie.