Mahitaji....
1) Unga wa ngano kikombe 1
2) Baking powder 1teaspoon
3) Sukari 2 tablespoon..
4) Maziwa kikombe 1
5) Yai 2
6) Chumvi 1/4 teaspoon
7) Siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon au vegetable oil...
Namna ya kutaarisha.
1) Changanya unga, sukari, chumvi, baking powder na weka pembeni
2) Kwenye bakuli jengine weka mayai, maziwa, siagi au vegetable oil.... changanya vizuri
3) Mimina mchanganyiko wa maziwa katika unga... changanya vizuri hadi kupata uji mzito
4) Weka pan yako jikoni moto kiasi.... then weka mafuta kidogo sana ili pancakes sizigande..
5) Chukua upawa chota mchanganyiko na mimina taratibu kwenye pan acha yenyewe itawanyike...
6) Subiria hadi ukiona pancake inatoa mapovu juu then geuza...fanya hivo hadi kumaliza
7) Pancake tayari kwa kuliwa....waweza mimina asali juu yake kwa ladha nzuri zaidi...
1) Unga wa ngano kikombe 1
2) Baking powder 1teaspoon
3) Sukari 2 tablespoon..
4) Maziwa kikombe 1
5) Yai 2
6) Chumvi 1/4 teaspoon
7) Siagi iliyoyayushwa 2 tablespoon au vegetable oil...
Namna ya kutaarisha.
1) Changanya unga, sukari, chumvi, baking powder na weka pembeni
2) Kwenye bakuli jengine weka mayai, maziwa, siagi au vegetable oil.... changanya vizuri
3) Mimina mchanganyiko wa maziwa katika unga... changanya vizuri hadi kupata uji mzito
4) Weka pan yako jikoni moto kiasi.... then weka mafuta kidogo sana ili pancakes sizigande..
5) Chukua upawa chota mchanganyiko na mimina taratibu kwenye pan acha yenyewe itawanyike...
6) Subiria hadi ukiona pancake inatoa mapovu juu then geuza...fanya hivo hadi kumaliza
7) Pancake tayari kwa kuliwa....waweza mimina asali juu yake kwa ladha nzuri zaidi...