Ni Queen Victoria waterfalls,chanzo cha jina lake ni malkia wa uingereza Victoria, ambapo bwana david livingstone aliamua kutaita maporomoko hayo kwa jina hilo alipoyagundua mwaka 1885. maporomoko haya yapo kwenye mto zambezi ambao ni mto wa nne kwa urefu Africa
Hapo ni Kalambo Falls, Kalambo Falls ni maporomoko ambayo yapo kule kwetu Rukwa.Kusema ukweli ni kwa kuwa mkoa upo nyuma kimaendeleo otherwise hii sehemu ni nzuri kwa utangazaji wa kitalii.Watu wa Rukwa tumekosa watu makini wa kutangaza mkoa wetu kiutalii tuna kila kitu kabisa na inaniuma sana maana hata hiyo mbuga ya katavi yenyewe haijatangazwa vizuri maana ina almost kila mnyama anaepatikana kwenye mbuga zingine hapa Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.