britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,177
- 41,623
Israel na Iran si Maadui Bali Tatizo viongozi
Tena Israeli halisi inapaswa kuwashukuru na kuwaenzi Wairani. Maana zamani hizo za wakati wayahudi wanatawaliwa na babeli (Iraq), mfalme wa Persia/Iran kwa Jina la Cyrus alivamia na kuwatwanga wababeli/Iraq na kuwashinda. Wakati huo Babeli ilikuwa inawatawala Israeli na kuwatumikisha kama watumwa wao. Baada ya Mfalme wa Persia/Iran bwana Cyrus kuwaponda Babeli, aliwaachia huru wayahudi na kuwaruhusu kujenga tempo zao na kuendelea na Maisha yao bila bughudha.
Fikiria Persia walikuwa na Imani zao, ila wakawaruhusu Wayahudi kujenda tempo zao na waendelee na tamaduni zao.
Ni kiasi gani muirani alivyokomaa kwa uvumilivu. Ndio maana hata sisi Tanzania tulipomaliza vita na Kagera, hakuna taifa lilikuwa tayari kutusaidia. Mafuta yalikuwa hatuna hata magar ya serikali yalitembea mwisho mchana ili kubana bajet. Pesa hatuna na mafuta hatuna
Wakat huo Mzee Sabodo amwambia Nyerere amtume Iran kwa Mshia mwenzie bwana Ayatollah Ali Khamenei. Akaenda kumuomba Huyo kiongoz wa Iran aisaidie Tanzania maana ina hali ngumu na kwamba kiongoz wa Tanzania ni mtu mzuri anayeheshimu Imani na hata waislamu wa kishia nchini wanaishi kwa amani.
Ayatollah Ali Khamenei akakubali, akaipa Tanzania mafuta yenye thamani ya Dola za kimarekani 80,000 kwa mkopo usio na riba kwa miaka 4.
Hakika watanzania tunapaswa kumlilia Ayatollah Ali Khamenei Yule wa 1970 siyo wa 2020 maana Alisha kuwa mlevi wa madaraka Kama mseven
Hivyo wayahudi wanatakiwa wajue kuwa h uwezo wa kuipiga Irani wanao. Ila wakumbuke walau historia.
Irani ina watu zaidi ya 90 milion na eneo la zaidi ya 600,000sqkm wakt Israeli ina watu 12milion with an area of 22,000sqkm yaani kama mkoa wa Rukwa
Hivo Walipo kamilisha kuwawajibisha akina Khamenei aliyekengeuka wanapaswa kuhakikisha wanaendelea na mahusiano mema
Britanicca
Tena Israeli halisi inapaswa kuwashukuru na kuwaenzi Wairani. Maana zamani hizo za wakati wayahudi wanatawaliwa na babeli (Iraq), mfalme wa Persia/Iran kwa Jina la Cyrus alivamia na kuwatwanga wababeli/Iraq na kuwashinda. Wakati huo Babeli ilikuwa inawatawala Israeli na kuwatumikisha kama watumwa wao. Baada ya Mfalme wa Persia/Iran bwana Cyrus kuwaponda Babeli, aliwaachia huru wayahudi na kuwaruhusu kujenga tempo zao na kuendelea na Maisha yao bila bughudha.
Fikiria Persia walikuwa na Imani zao, ila wakawaruhusu Wayahudi kujenda tempo zao na waendelee na tamaduni zao.
Ni kiasi gani muirani alivyokomaa kwa uvumilivu. Ndio maana hata sisi Tanzania tulipomaliza vita na Kagera, hakuna taifa lilikuwa tayari kutusaidia. Mafuta yalikuwa hatuna hata magar ya serikali yalitembea mwisho mchana ili kubana bajet. Pesa hatuna na mafuta hatuna
Wakat huo Mzee Sabodo amwambia Nyerere amtume Iran kwa Mshia mwenzie bwana Ayatollah Ali Khamenei. Akaenda kumuomba Huyo kiongoz wa Iran aisaidie Tanzania maana ina hali ngumu na kwamba kiongoz wa Tanzania ni mtu mzuri anayeheshimu Imani na hata waislamu wa kishia nchini wanaishi kwa amani.
Ayatollah Ali Khamenei akakubali, akaipa Tanzania mafuta yenye thamani ya Dola za kimarekani 80,000 kwa mkopo usio na riba kwa miaka 4.
Hakika watanzania tunapaswa kumlilia Ayatollah Ali Khamenei Yule wa 1970 siyo wa 2020 maana Alisha kuwa mlevi wa madaraka Kama mseven
Hivyo wayahudi wanatakiwa wajue kuwa h uwezo wa kuipiga Irani wanao. Ila wakumbuke walau historia.
Irani ina watu zaidi ya 90 milion na eneo la zaidi ya 600,000sqkm wakt Israeli ina watu 12milion with an area of 22,000sqkm yaani kama mkoa wa Rukwa
Hivo Walipo kamilisha kuwawajibisha akina Khamenei aliyekengeuka wanapaswa kuhakikisha wanaendelea na mahusiano mema
Britanicca