Upinzani wa kutengenezwa na MangeJiulizeni kwanini pamoja na umasikini wake,Ali Kiba bado anatoa upinzani mkubwa kwa Diamond?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu watasema na nyumba sio yakeMtoa mada kamwaga nondo kibao za mafanikio ya Diamond , wewe umeona Karanga tuu, haya basi tufanye hizo Karanga sio zake , je na hayo maendeleo mengine ? Kiba ni mwanamziki mzuri sana lakini kwa kipindi hiki awezi kumfikia Diamond kimafanikio kutokana na mziki.tusimkumbatie Kiba hili kumkomoa Diamond , kiba anatakiwa akaangwe na aambiwe ukweli , anataka sifa au mafanikio basi ajitume haswa kama mwenzake Diamond. Mifano inaonekana tuu Show za Diamond popote pale akipiga , jamaa anajituma sana , sio yeye tuu hata timu yake nzima , yaani wapo kikazi zaidi na wanachukulia mziki ndio kazi yao , kuanzia madansa , walinzi, wapiga picha, meneja wake , kifupi Diamond msingi wake wa kiendeleo kutokana na mziki aliushaupanga vizuri, Kiba ajitahidi pia kujenga msingi wake vizuri atafika mbali.
Kuna wajinga na wapumbavu wanaamini hii ndinga ya MondMkuu hvi siku hizi watu wakienda kushoot video marekani huenda na magari yao??
Hebu fafanua umiliki wa diamond kwenye hii gari
Ndo ukweli huo boss ..King kiba yee hapendii show off bana
Nokia ya Torch
Yeye muite kima yan kiba kibaba kima kimama au unaonaje?????Kama unamuita kiba maskini wewe sjui tukuiteje
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
We unaonekana ni team kiba kwa hio comment...Mi nasimamaga kwenye ukweli tu always, sina upande!Alikiba anapambanishwa na Diamond????au Diamond anapambana na Kiba??????
Ok basi sawa wanapambanishwa lkn kumbuka ni katika muziki siyo maisha binafsi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pesa haijifichi kabisa maana hata billget ana pesa lakini hana show off ila utajiri wake ameshindwa kuuficha na dunia nzima inajua jamaa ana utajiri wa 90 billion doller yaani utajiri ni kaka maziwa kwa wadada hayajifichiMi nachojua hata kama hupendi show off pesa haijifichi, hivi msanii maarufu anaweza akajenga nyumba ya maana watu wasiijue? At least hao kina Dewji wanaweza wakaficha maana sio watu wanaofatiliwa kama watu wa entertainment
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama hivo mbona anamtafuta sasa kiba kama anamzidiDiamond Ana X 6 na V8
Kibakuli ana X 5 used (27 million)
Diamond alipaswa awe na bifu na Davido siyo huyo muimba kwaya wa Kariakoo.
Haya mambo Ndiyo Yale yale ya kushow off , huyo kiba kauza sana wimbo wake wa aje mwaka Jana kwenye mitandao na hasa audio, kaingiza pesa nzur mkataba wake na sonny , show zake za nje ulaya na marekani, juz juzi tu kapiga pesa ndefu sana huko kenya kwenye kampeni za akina odinga hasa Mombasa ( gavana joho )
Ukija kwenye video ( account za VEVO msaan kule analipwa kwa view zake ) ishu hapa ni mmoja anapenda kujionesha na mwingine ni kimya kimya hata kiba ana jumba lake la maana lipo pale tabata sema ni vile tu haongei , kampuni ya Rockstar ni yake sasa wanauza nyimbo na ishu zote za entertainment Africa lakin hujawahi kusikia akijisifu hata siku moja
Mfano mzuri wasaani wenye pesa ndefu afu wapo simple tu
Yupo A.y huyu ana pesa ( na ndiyo mtu wa kwanza kumtengenezea connection mond na akina davido ) huyu anamilik kipind cha mikasi na ana project zingine lakin huoni akijisifu hata siku moja
Mwisho niseme wote ni vijana na ni wapambanaji ila kila mtu na makuzi yake na tabia yake ya matumiz ya pesa
Wengine kwetu ni somo kuwa upate pesa upige kelele na show off au ukae kimya tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie hao na hata ukisema uwaulize Yale mafuvu kwenye meza yake ya nn hawana jibu,Huyo ni mwanachama wa chama kile cha siri pia mwanachama kijani,lazima awe na pesa,selling your soul to the devil si jambo la kitoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeyajuaje haya?Kwasabab alikiba anatumia uchawi sana..skutegemea nyimbo mbaya kias hiki ipendwe na watu waishobokee namna hii,had nmehis muzik sasa wa bongo ni matumiz ya majin..na ndomana watu wameuchoka a minute after 3days toka siku ulivotoka,..nguv za giza na kimambi vilimsaidia..
Mkuu umeenda mbali sana Davido?Diamond Ana X 6 na V8
Kibakuli ana X 5 used (27 million)
Diamond alipaswa awe na bifu na Davido siyo huyo muimba kwaya wa Kariakoo.