Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,776
24,211
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

1704874511446.jpeg
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.
-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)
Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.
Watakaobaki watabadilisha mandhari. Diamond kaukuta muziki, atauacha, aidha kwa kuzeeka na kuacha kuimba ama kwa kifo. Muziki ulikuwepo na utaendelea kuwepo bila yeye. Vipaji vipya vinazaliwa kila leo.
 
Watakaobaki watabadilisha mandhari. Diamond kaukuta muziki, atauacha, aidha kwa kuzeeka na kuacha kuimba ama kwa kifo. Muziki ulikuwepo na utaendelea kuwepo bila yeye. Vipaji vipya vinazaliwa kila leo.
But kimataifa itakuwa hatutakua na ushindani

Haya mashairi ya "" I go die fo u hayawezi kushindana na kina davido
 
Back
Top Bottom