Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,463
- 21,230
AhhhhhhhhhMashabiki wa Alikiba wanafatilia muziki wake na siyo maisha yake,lkn kumbuka kila mtu ana life style yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa maendeleo ya kiuchumi si kipimo cha uzuri wa sanaa ya msanii.Habari zenu wana jf
Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria
Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.
Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake
Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba
Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.
Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
![]()
![]()
![]()
![]()
Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
![]()
![]()
![]()
![]()
Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama Rich mavoko,Harmonize,Rayvanny,lavalava na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni
Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
![]()
Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz
Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19
![]()
Ukipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao
Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe
Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz
mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?
*~Mtotmtamu
Shogaangu
Sasa ww ndo umesema hivo lakini hao wenye kampuni mbona hawasemi karanga ni zao ila matangazo kapewa diamond mbona ni kawaida kupewa tangazo...hiyo kampuni wanaficha nn? Na ww umejuaje? Karanga kuwepo sokoni kwa kipindi kilichopita haina maan mikataba ya uzalishaji na umilikishi kubadilika....lazma uwe na fact na point za kutosha hiyo sio sabab ya msngiNani Kakuambia Diamond Karanga Ni Za Domo?? Huyo Domo Kapewa Kazi Ya Kupromote Soko Tu Kumbuka Hizo Karanga Zilikuwepo Toka Mwaka Juzi Na Zilikuwa Za Rangi Ya Blue
Kama unatoa kazi nzuri alafu uchumi wako ni mbovu ni heri uache sanaa tu masna utakuwa unafanya kazi kujaza maji kwenye chujioKwanza kabisa maendeleo ya kiuchumi si kipimo cha uzuri wa sanaa ya msanii.
Sanaa haipimwi kwa hela.
Naona unaoanisha maendeleo ya kiuchumi ya msanii na uzuri wa sanaa yake.
Msanii anaweza kuwa mzuribzaidi katika sanaa yake lakini hajui kusimamia haki zake na hivyo akawa na mikataba mibaya itakayomfanya awe masikini.
Na msanii mwingine anaweza kuwa si mzuri sana katika sanaa, lakini akawa anajua kusimamia haki zake katika mikataba na hivyo kuwa tajiri.
Kwa hiyo umelinganisha uchumi na sanaa katika namna ambayo haina ulinganifu.
Sent from my Kimulimuli
Acha uwongo mombasa kaishi lini? Mpaka tiket ya Msa anatumiwa na joho, amekaa kipindi hiki cha Kampeni tu, hapo ndio ujue mwanamuziki wako alivyo mdogo, kaenda mombasa mwezi mzima anamfanyia Kampeni Gavana wa msa, Hivi Diamond wangeweza kumlipa pesa ya mwezi mzima?JAMANI TUWE TUNAONGEA TUKIWA TUMESHA FANYA RESEARCH NDUGU ZANGU MIMI NAISHI JIRANI NA ALI KIBA JAMANI KWANZA AFU PIA JAMAA ANA MANSION MOMBASA NA ANAISHI SAAANA HUKO NA UINGEREZA AMBAPO WATOTO WAKE WAWILI NDIO WANAISHI HUKO AMAYA NA YULE MDOGO JAMANI NIMECHEKA SAAAANA
hhhhhhhhhhAcha uwongo mombasa kaishi lini? Mpaka tiket ya Msa anatumiwa na joho, amekaa kipindi hiki cha Kampeni tu, hapo ndio ujue mwanamuziki wako alivyo mdogo, kaenda mombasa mwezi mzima anamfanyia Kampeni Gavana wa msa, Hivi Diamond wangeweza kumlipa pesa ya mwezi mzima?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikiba anapambanishwa na Diamond????au Diamond anapambana na Kiba??????Mkubali mkatae, Ali Kiba hana utajiri wa kumzidi Diamond na wala hamfikii ata thumuni. Diamond ana vitega uchumi vingi kama nyumba maeneo mbali mbali ya mji, endorsments na muziki wake mwenyewe ulivyo mkubwa.
Ali kiba anapambanishwa nae tu kwa chuki binafsi maana nae anajitutumua tu na watu wanampa bichwa ila ni wazi hawezi kumpiku diamond kimaisha na hata kimuziki kwa sasa.
Ishu ya utajiri hata hainaga haja ya makelele kwa maana umbea tu wa wabongo ungetosha ku reveal ukweli.Ushahidi wa matukio unatosha kudhihirisha hilo.
bora umeona nilichokiona japo kwa kuchelewa.Ali masikini kwa kigezo kipi?
Kwann heading umemtaja Ali maelezo yote ni ya Diamond?
Kwann umeonyesha mali anazomiliki Diamond na za Ali hujaonyesha?
Naomba kujua umefikiri kwa kutumia Akili au Hisia?
Hatoi upinzani ila watu wana chuki na mafanikio na hatua alizopiga diamond,refer bifu ya kanumba na ray kigosi,now huyo ray yupp wapi?Jiulizeni kwanini pamoja na umasikini wake,Ali Kiba bado anatoa upinzani mkubwa kwa Diamond?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiba hata mdogo wake Abdu kashindwa kumpaisha,Alafu sio mbinafsi kabisa yani kupitia yeye ameinua familia yake muangalie esmaplatnumz na queendarlin na romyjons alivyowainua kwa kuwatengenezea hali ya kujitegemea
Ushawahi kusikia msemo "art for the sake of art" ?Kama unatoa kazi nzuri alafu uchumi wako ni mbovu ni heri uache sanaa tu masna utakuwa unafanya kazi kujaza maji kwenye chujio
Nikweli ila ujue kwa uhalisia tukizungumzia swala la pesa kwene mitandao diamond ndio anaongoza na ndo maan youtube walitoa top ten yao diamond alimpiku mbali sana kiba,....na jarbu kuangalia nyimbo zao zote utaona ni nani ana views wengi zaidi utagundua ni diamond,...dili za matangazo diamond ana matangazo mengi na makubwa zaidi ya Alikiba,......tukija kwene show nadhani hapa hamna ubishi hata tusilizungumzie maan uyo domo uko nje kapiga show nyingi sana na Africa nzima kwa ujumla kulinganisha na alikiba...ukicheki kwa jicho la mbali sehemu anazopita kiba ni zile diamond kashazipitia mara mbili yake uko nyuma.....lifestyle ya kujionyesha na kutojionesha ni mtu mwenyewe....lakini tukiwafananisha zaidi kwa kazi zao kimziki hivo havifichiki maan yuotube kila mtu anaona,matangazo tunaona,shows tunaona na tuzo zinaonekanaHaya mambo Ndiyo Yale yale ya kushow off , huyo kiba kauza sana wimbo wake wa aje mwaka Jana kwenye mitandao na hasa audio, kaingiza pesa nzur mkataba wake na sonny , show zake za nje ulaya na marekani, juz juzi tu kapiga pesa ndefu sana huko kenya kwenye kampeni za akina odinga hasa Mombasa ( gavana joho )
Ukija kwenye video ( account za VEVO msaan kule analipwa kwa view zake ) ishu hapa ni mmoja anapenda kujionesha na mwingine ni kimya kimya hata kiba ana jumba lake la maana lipo pale tabata sema ni vile tu haongei , kampuni ya Rockstar ni yake sasa wanauza nyimbo na ishu zote za entertainment Africa lakin hujawahi kusikia akijisifu hata siku moja
Mfano mzuri wasaani wenye pesa ndefu afu wapo simple tu
Yupo A.y huyu ana pesa ( na ndiyo mtu wa kwanza kumtengenezea connection mond na akina davido ) huyu anamilik kipind cha mikasi na ana project zingine lakin huoni akijisifu hata siku moja
Mwisho niseme wote ni vijana na ni wapambanaji ila kila mtu na makuzi yake na tabia yake ya matumiz ya pesa
Wengine kwetu ni somo kuwa upate pesa upige kelele na show off au ukae kimya tu
Sent using Jamii Forums mobile app