Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

kwanini mashabiki wa diamond mnatafuta kufananisha mtu asiye wa level ya diamond?

kiba hampati hata kidogo diamond si kimziki wala kifedha, nyie sahauni na mlale usingizi wa amani na msiweweseke

huyo diamond wenu mfananisheni na kina davido na wizkid na wenzao wa nigeria huko hapa simba hana wa kufananisha naye. muwe na amani kabisa....hahahahaaaa
eti diamond na kina wizkid na kina davido.

Au sababu wote wanavaa suruali???
 
Sijui ana rekodi gani asee wakati anazidiwa kila idara aseee.
Anamekimbizwa kila sehemu.Huko utube mondi ana nyimbo ina viewer hadi 31M wakati huyo wanaemjaza ujinga hajawahi fikisha hata watu 15M kwa kazi zake ZOTE za muziki.Siku sio nyingi utaskia mtu anaimba USINISEME KAMA NAPENDA KULA
:D:D watu wachokozi
 
eti diamond na kina wizkid na kina davido.

Au sababu wote wanavaa suruali???
ndo wanachotaka maana wanasema kiba si wa level yao na wamebandika majumba,magari na makorokoro ya bwana wao sasa sisi tufanyeje?
 
a44f7ccbd3e53ab0d68e5f865ae19180.jpg


Nyumba aliyokuwa amepanga ya kunduchi hiyo kipindi alipovamiwa wezi wakaishiwa kuvunja tu na hawakuchukua chochote

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh watu kwa kufukunyua mpo vizuri
 
ndo wanachotaka maana wanasema kiba si wa level yao na wamebandika majumba,magari na makorokoro ya bwana wao sasa sisi tufanyeje?
Unazi ni janga tz kwa sasa,royce nayo mapimbi wameiweka ktk orodha ni gari ya diamond.
 
Haya mambo Ndiyo Yale yale ya kushow off , huyo kiba kauza sana wimbo wake wa aje mwaka Jana kwenye mitandao na hasa audio, kaingiza pesa nzur mkataba wake na sonny , show zake za nje ulaya na marekani, juz juzi tu kapiga pesa ndefu sana huko kenya kwenye kampeni za akina odinga hasa Mombasa ( gavana joho )

Ukija kwenye video ( account za VEVO msaan kule analipwa kwa view zake ) ishu hapa ni mmoja anapenda kujionesha na mwingine ni kimya kimya hata kiba ana jumba lake la maana lipo pale tabata sema ni vile tu haongei , kampuni ya Rockstar ni yake sasa wanauza nyimbo na ishu zote za entertainment Africa lakin hujawahi kusikia akijisifu hata siku moja

Mfano mzuri wasaani wenye pesa ndefu afu wapo simple tu

Yupo A.y huyu ana pesa ( na ndiyo mtu wa kwanza kumtengenezea connection mond na akina davido ) huyu anamilik kipind cha mikasi na ana project zingine lakin huoni akijisifu hata siku moja

Mwisho niseme wote ni vijana na ni wapambanaji ila kila mtu na makuzi yake na tabia yake ya matumiz ya pesa

Wengine kwetu ni somo kuwa upate pesa upige kelele na show off au ukae kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Toka lini imekuwa yake bro, maana tunavyojua yeye anacheo tu pale lakini umiliki c wake na yy pia aliajiriwa pale kipindi cha nyuma.
 
Alikiba anapambanishwa na Diamond kimuziki na siyo maisha binafsi,hata hapo hujaelewa mkuu???

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mziki mzuri usio na maisha mazuri yaani ukitoa kazi nzuri ni lazima upate utajiri kwani kazi yako itanunuliwa na watu watalipa kiingilio kikubwa kwenye show zako ili waangalie kazi yaki nzuri ukiona unatoa ngoma alafu unazidi kuwa masikini jua nyimbo zako hazikulipi na ni mbovu hhhhh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom