Pamoja na umaarufu alio nao Alikiba kwa nini Bado Maskini na Diamond platnumz ni mwanamuziki tajiri?

7ab361dd345366833c7d0a1b39f6962b.jpg
 
Hakuna mziki mzuri usio na maisha mazuri yaani ukitoa kazi nzuri ni lazima upate utajiri kwani kazi yako itanunuliwa na watu watalipa kiingilio kikubwa kwenye show zako ili waangalie kazi yaki nzuri ukiona unatoa ngoma alafu unazidi kuwa masikini jua nyimbo zako hazikulipi na ni mbovu hhhhh
Sasa kwa nini teamdiamond mnapambana na Kiba huku mkijua mnamzidi kila kitu???kwa nn msitafte wa level yenu???sasa kipi kinawanyima usingizi juu ya mtu asiyewafikia kwa chochote??why Kiba???basi mna matatzo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana jf

Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria

Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.

Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake

Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba

Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.

Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
1b6a914765dee10191206877f27f3872.jpg

baf5eac734a10fe7a1c795f1258ae853.jpg

b78bdcea38f9fd2b03a2e54e403d5d2b.jpg

dd124671bdcf3d7cdf0e1120c15cafce.jpg


Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
9b5bab3186e9b0ab5b1ec5a21fbd0ab0.jpg

5aba10ffde33e51db20eafe3807c4f89.jpg

a5eefc9f96dbbd47fefa3f02627c4c3f.jpg

0b191687eb9d1141279775010bc4e08f.jpg


Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama
~Rich Mavoko
~Harmonize
~Rayvanny
~lavalava
Na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni

Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
81226d28e38578c6244eb8ea6449258c.jpg


Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz

Ukiingia katika account zao za youtube alikiba ana followers 60,000 na Platnumz anao followers 650,000 na kupitia account zao za youtube Diamond anavuta pesa ndefu kutoka youtube kutokana na video zake nyingi anazoweka kwenye account yake na followers wengi alionao

Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19

eab9b5e89f9bc0fee68573deed497799.jpg

Ukipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao

Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe

Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz

mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?

---------------------------------------------------------------------------------------

USHAURI WANGU KWA PLATNUMZ D

Nakuomba uachane na hili bifu ulilojiwekea na alikiba kwani sio saizi yako kabisa umemzidi kimaendeleo kwa asilimia kubwa na unafanya kazi ya kumpromote tu na sikingine

Diamond platnumz level zako ni za akina Davido yaani ilibidi uweke bifu na mtu ambaye ni saizi yako Nakusihi achana nae na wala usishindane nae kwani yeye ndio anafaidika zaidi na hili bifu na anapenda liendelee. Alikiba saizi yake ni akina Dully sykes,TID,Q CHIEF,Bobjunior ndio wa kuekeana bifu lakini sio wewe

Wewe ni boss wa label kubwa ya WCB na umetoa ajira kwa vijana wengi hivyo huwezi kulingana wala kushindana na msanii Local anayefanya kazi chini ya label asiye na brand yake anayetegemea media kumpromote, hana studio wala ofisi yani yupo yupo tu,huko ni kujiaibisha tu
Mkuu Mondi kajipanga..na leo kumetoka taarifa Amealikwa na NEYO kwenye tour yake Uingereza inayoanza September 13...BIG UP DOGO.
 
Mleta mada hayo mafuvu mezani kwa diamond umeyaona ndio yanayompa utajiri.Then alikiba ana drive BMW X3 je hicho ni kipimo cha umaskini kwako
 
Diamond Ana X 6 na V8

Kibakuli ana X 5 used (27 million)

Diamond alipaswa awe na bifu na Davido siyo huyo muimba kwaya wa Kariakoo.

Mkuu X6 ya D ni used as well, hakununua brand new.
V8 unazungumzia ile ya Chief Kiumbe ama?

All in all salute kwa D kwa kuweza kutoa ajira kwa vijana bongo. Though sidhani kama kweli anatumia mil 100 kila mwezi kwa kulipa mishahara tu kama mhenga mmoja hapo juu alivyotaka kutuaminisha.
 
Kwasabab alikiba anatumia uchawi sana..skutegemea nyimbo mbaya kias hiki ipendwe na watu waishobokee namna hii,had nmehis muzik sasa wa bongo ni matumiz ya majin..na ndomana watu wameuchoka a minute after 3days toka siku ulivotoka,..nguv za giza na kimambi vilimsaidia..
Mleta mada kaongea facts za ukweli na inaonesha mleta mada ana hoja
sasa nyie baadhi mashabiki kama wewe hoja unajibu kwamba anatumia majini na kuzungumzia nyimbo moja tu kwaba kwanini watu wanaupenda ..hamna facts za msingi.
 
ukweli ni kwamba NGUVU YA UMMA imewastua sana wcb,maneno yamewaishia,wabongo sasa hivi wamechoka na upuuzi uwe wa siasa au mziki,kicks za kijinga wanazikataa na roho mbaya haikubaliki,hata bashite na baba yake sasa hivi kiki zinabuma then all of a sudden jamaa analeta upuuzi wake akidhani hii ni 2015 ona hata hiyo harusi feki na zari imebuma...hamjifunzi tu kwamba time changes???matusi muanze wenyewe wananchi waki react mnaanza kuwatukana na kujisifu mitandaoni mara ooh hatutegemei show za bongo,hatufanyi show za kimaskini
sawa tu,msidhani hao maskini ni wajinga,endeleen na dharau zenu mtaporomoka vibaya sana maana inaonekana hamuhitaji maskini wa kibongo
Well said mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wana jf

Naombeni uzii huu usichukuliwe kiushabiki bali uchukuliwe kama haki ya kila mtu kutoa ya moyoni pasipo kuvunja sheria

Kwa mda mrefu msanii Alikiba amekuwa yupo kwenye game la mziki na amejizolea umaarufu mkubwa kwa kazi zake nzuri na kujipatia mashabiki wengi huku wengine wakimuita "KING" wa bongofleva.

Lakini pamoja na umaarufu wake alionao na mashabiki wengi aliojizolea lakini bado Alikiba ni mtu mwenye maisha ya ya chini tu ambayo hayafanani kabisa na umaarufu wake

Tukija upande wa pili wa mwanamuziki Naseeb Abdul ~Diamond Platnumz yeye si wazamani sana kwenye game kama alikiba lakini nayeye ametokea kufanya kazi nzuri na kujizolea mashabiki wengi na umaarufu lakini hajaweza kufikia record ya The king himself Alikiba

Lakini ukija kwenye maswala ya maendeleo ambayo ndio kipimo cha kazi anayofanya msanii utagundua kuwa Diamond platnumz amejizolea utajiri wa kutisha zaidi ya King himself Alikiba.

Kutokana na kazi ya mziki Diamond platnumz ameweza kujipatia utajiri mkubwa ikiwemo kuachia mijengo mingi ya maana hapa town na mengine South Africa. Diamond amefunguka zaidi kwa kuanzisha biashara zake za Chibu perfume na Diamond karanga ambazo zinafanya vizuri nzuri sokoni bila kusahau mikataba yake ya matangazo na makampuni makubwa wakati king Kiba hana biashara ya maana wala maendeleo yoyote kumzidi Naseeb
1b6a914765dee10191206877f27f3872.jpg

baf5eac734a10fe7a1c795f1258ae853.jpg

b78bdcea38f9fd2b03a2e54e403d5d2b.jpg

dd124671bdcf3d7cdf0e1120c15cafce.jpg


Diamond platnumz amejenga ofisi yake ya kisasa na kufungua studio yake ya wasafi records ambayo inahusika kutengeneza ngoma zote za wasafi na wasanii wengine kutoka nnje kitu ambacho Alikiba hadi leo hana ofisi wala studio yake binafsi
9b5bab3186e9b0ab5b1ec5a21fbd0ab0.jpg

5aba10ffde33e51db20eafe3807c4f89.jpg

a5eefc9f96dbbd47fefa3f02627c4c3f.jpg

0b191687eb9d1141279775010bc4e08f.jpg


Diamond ameanzisha Label yake mwenyewe ya Wasafi records ambayo inawasimamia wasanii wakali kama
~Rich Mavoko
~Harmonize
~Rayvanny
~lavalava
Na mtandao wa wasafi.com ambao anauza nyimbo zake na za wasanii wengine online. Label ya wasafi imekuwa ni chanzo kikubwa cha kupiga mkwanja mrefu kwa Diamond platnumz hadi ilifika kipindi TRA wakamkadiria kodi hadi swala hilo likatinga bungeni

Huku Diamond platnumz ni msanii pekee anaeilipa kodi kubwa serikali kuliko msanii yeyote hapa tz, Akiwapiku wasanii wengi wakongwe na wapya ambao wamekuwa wakimchukia lakini wengi wao hata mlango wa TRA hawaujui nikimaanisha wanaendesha kazi zao kiujanja ujanja lakini Diamond platnumz ameonyesha mfano kwa kuilipa kodi serikali kwa kazi zake zote
81226d28e38578c6244eb8ea6449258c.jpg


Wakati upande wa pili wa Alikiba yeye bado amesainiwa na Sony music na hana label yake mwenyewe wala wasanii anaowasimamia,Na wala sina uhakika kama anailipa kodi serikali kama anavyofanya Platnumz

Ukiingia katika account zao za youtube alikiba ana followers 60,000 na Platnumz anao followers 650,000 na kupitia account zao za youtube Diamond anavuta pesa ndefu kutoka youtube kutokana na video zake nyingi anazoweka kwenye account yake na followers wengi alionao

Diamond platnumz ameweza kutoa ajira kwa
~Mameneja 2
~Madancer 5
~producer 1
~Bodyguard 1
~Photographer 1
~Mtu wa IT 1
~Mbunifu 1
~Muhasibu 1
~wasanii chini ya label yake 5
Jumla 19

eab9b5e89f9bc0fee68573deed497799.jpg

Ukipiga hesabu hapo Diamond platnumz anaspend zaidi ya 100 millions kwa ajili ya kulipa mishahara tu kwa crew yake au wafanyakazi wa label yake ya wasafi kwa kila mwezi huku mshahara mkubwa ukienda kwa wasanii walio chini ya lebel yake kulingana na mikataba yao

Ukija upande wa pili wa alikiba yeye ni mwajiriwa tu wa sonny music hamlipi mtu mshahara lakini maisha yake hayafanani kabisa na misifa anayopewa na mashabiki wake Mwisho wa siku utagundua kuwa alikiba anaambulia sifa tu kutoka kwa mashabiki zake mitandaoni kakini Diamond ni real money maker nikimaanisha mashabiki wanaompaka sifa Alikiba mchana ndio hao hao Wanaomtajirisha Diamond platnumz wenyewe

Na wapo watakaokuja kusema hapa kuwa alikiba sio mtu wa show off lakini msema ukweli ni mpenzi wa mungu pesa na maisha aliyokuwa nayo Alikiba hata aizidishe mara 10 hamfikii Diamond platnumz japo watu hao hao wanampaka mafuta mwa mgongo wa chupa alikiba kwa sifa ndio hao hao wanaomtajirisha Platnumz

mziki duniani kote sasa hivi ni pesa ndio mpango mzima lakini najiuliza mziki wa alikiba ni wa kuingiza pesa kutokana na kazi nzuri au ni mziki wa sifa mbona hana maendeleo yoyote?

---------------------------------------------------------------------------------------

USHAURI WANGU KWA PLATNUMZ D

Nakuomba uachane na hili bifu ulilojiwekea na alikiba kwani sio saizi yako kabisa umemzidi kimaendeleo kwa asilimia kubwa na unafanya kazi ya kumpromote tu na sikingine

Diamond platnumz level zako ni za akina Davido yaani ilibidi uweke bifu na mtu ambaye ni saizi yako Nakusihi achana nae na wala usishindane nae kwani yeye ndio anafaidika zaidi na hili bifu na anapenda liendelee. Alikiba saizi yake ni akina Dully sykes,TID,Q CHIEF,Bobjunior ndio wa kuekeana bifu lakini sio wewe

Wewe ni boss wa label kubwa ya WCB na umetoa ajira kwa vijana wengi hivyo huwezi kulingana wala kushindana na msanii Local anayefanya kazi chini ya label asiye na brand yake anayetegemea media kumpromote, hana studio wala ofisi yani yupo yupo tu,huko ni kujiaibisha tu
Dah!! Umeidadavua vizuri sana ni kweli diamond level zake so wasanii wa hapa bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu aliongea kibakuli juz kama sio jana hapendi kua public talk kisa mali au hela au kuvaa kistar au ku act star wakati ana njaa
So he keep real but according to you

Kibakuli nae inasemekana yuko poa japo hajionyeshi

Tufanye kazi tupate hela zetu hata umdiss dai au kiba hupati hata mia zaidi ya likes tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom