Wanakuambia division 4 sio kufeli, lkn cha kushangaza serikali inakuwa haina mpango wowote wa kuwaendeleza, labda wale wenye D kuanzia 4 ndio wanaweza kujiongeza na wakaenda Diploma mbalimbali.
Lkn ukweli ni kwamba wengi wataishia kukaa nyumbani na jalada linakuwa lishafungwa.
Unforgetable