abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,154
Hahahah
Sisi watu wa pwani ...tuna wanawake warembo pia mkuu ongezea hilo
Wakipenda wamependa hawa sio kama wale wa sinoni daraja mbili bila pesa si lolote
Halafu jengine waweza pikiwa kisamvu na ukahisi umekula nyama