Pamoja na madhaifu yao, watu wa Pwani ni watu poa sana

Hii itakuwa kuanzia miaka ya 80 kurudi nyuma.
Mimi ni mtu wa pwani lakini sina hata kimoja hapo na vingi ni vice versa.

Sasa hivi dunia ni survival of the fittest hakuna mnyonge wala mjanja kuliko mwengine.
 
Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.
Wachaga ndio kina nani?
Hao unaowasema wamefanya maendeleo gani hapa tanzania na dunia kiujumla mpaka wewe kuwatolea mfano?
Na nitajie sehemu moja tu Tanzania ambayo imefanikiwa kufanya poverty eradication for 100%...?
Sehemu moja naongelea huko uchagani unakosema.

Mnatia hasira sana nyie watu wenye asili ya majigambo na dharau wakati kiuhalisia ni watu wa ajabu'ajabu tu.

Condescendence snowflake.
 
Angalia asili ya utafutaji wao na kazi zao kama kilimo na ufugaji izo jamiu wana ukatili sana na hawapati kabisa

Bara ni kawaida sana huku pwani ukimpiga tu mkeo kibao akienda kwao umemkosa na unaweza kufungwa ila bara huko noma wanapigwa wanavumilia kawaida yao

Mfano niliwai kusikia mauaji kadhaa Tanga na ujambazi wa kutisha miaka ya 2007 ulishamiri ila kila anayekamatwa ni mtu arusha ,mbaya


Kingine watu wa pwani wana vimwili vidogo sana kuliko watu wa bara naona hata vurugu hawawezi
Watu wa pwani visiwani ndio wafupi, Ila sio wa kutoka Tanganyika.

Ukoo wangu watu wafupi wanaanzia 5.8 feet.
 
Lini umewahu kusikia watu wa pwani wanakufa njaa na kwahiyo serikali ikalazimika kwenda kuwapa misaada?!

Au kwavile nyie mnachunga ng'ombe ndo mlitarajia kila mtu achunge ng'ombe hata kama sio kazi zao za siri?!

Korosho ambazo zinaliingizia taifa mabilioni ya pesa zinalimwa na nyinyi??

Mbaazi ambazo zilikuwa zinaozeana hadi kwenye maghala kwa kukosa soko mnalima nyie?

Nazi ambazo wengine mnaziona mkishakuja mjin, zinalimwa na nyie?

Acha ujinga!The way mnavyoongea kwa mgeni wa Tanzania anaweza kusema huko kwenu mambo yenu mazuri kweli kweli wakati ni maskini wa kutupwa!!

Kama yapi? Kuchunga ng'ombe, au?!

Na nyie msioridhika mapema mna nini cha maana?

Na ngoma za kipumbavu zinazohitimishwa kwa kukata visimi vya watoto zinachezwa pwani?

Yale yale!! Unaweza kukuta hata kwenye ukoo wako weneyewe kuna wengine hawana hata uhakika wa kula halafu hapa unaona wenzako hawapiganii maisha... VERY STUPID!

Kuna watu wangapi kutoka pwani ambao wewe binafsi au familia yako inawalipia kwa chochote?

Kuna watu wa majungu kama nyie kenge?!

Umeshawahi kufanyiwa huo ushirikina au unasikia tu kwa Waruga ruga wenzako?

Hivi kule walikokua wanaua albino eti ili kupata utajiri ni pwani? Kule wanakoua wazee kisa wana macho mekundu ni pwani? Kule ambako walikuwa wanachuna wenzao ngozi ni pwani?

Stop using carrot and stick! Haiwezekani mtu awe mshirikina, mchawi, na full majungu halafu hapo hapo eti useme ana roho mzuri na anajali watu wengine!

Umemjibu vizuri sana wao Ndio wanaongoza kwa kufa na njaa Ila sie wavivu eti
 
Brain la kuongoza Taifa alikua nalo mwendazake tu
Yule mpima mapapai?

Unadhani kati ya magufuli na kikwete nani alikuwa na brain?

Ukisema magufuli then nitatilia shaka uwezo wako wa kudifferentiate consciousness na instinctive motivation.
Na bila shaka wewe utakuwepo hapo kwenye kundi la pili.
 
Wa pwani wamejaaliwa roho nzuri pasipo na na chuki, mauwaji, ubaguzi wa rangi na ukabila.....bara sasa 🤣
 
Kwenye suala la mapenzi watu wa pwani hawana shida kabisa
Na hii ni kwa exprienc yang ya kukaa bagamoyo kwa muda wa kama mwezi hv
Msichana atakukaribisha kwao utaenda utakuta wazz unawasalimia wala huulizwi swali 😀😀😀
Jarib hilo kwa mtt wa mzee masawe uone 😄😄😄
 
Mtu awe mchawi na mshirikina halafu awe na huruma na roho nzuri?
 
Kuongozwa na watu wenye utamaduni wa umaskini nchi itaendelea kuwa maskini. Mpe nchi mchaga uone mabadiliko changa ya haraka.
wachaga maendeleo gani watayaleta. Nenda kaangalie kwao vijijini kuna maendeleo gani. kungekuwa na maendeleo kwao wasingepakimbia kwao. wachaga wamejaa ubaguzi wa kikabila, wana roho mbaya. Hawawezi kuongoza taasisi za kitaifa, wanapenda sana sifa hata za kijinga. Hawawezi uongozi, angalia NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA. Hakafu ving'ang'anizi hawatoki madarakani. Hovyo kabisa
 
Umemjibu vizuri sana wao Ndio wanaongoza kwa kufa na njaa Ila sie wavivu eti
Jinga sana hawa watu! Mara kwa mara ni huko huko kwao ndiko utasikia kuna njaa hata kama mvua zinanyesha, lakini ni very rare usikie eti mikoa ya pwani kuna njaa!
 
wachaga maendeleo gani watayaleta. Nenda kaangalie kwao vijijini kuna maendeleo gani. kungekuwa na maendeleo kwao wasingepakimbia kwao. wachaga wamejaa ubaguzi wa kikabila, wana roho mbaya. Hawawezi kuongoza taasisi za kitaifa, wanapenda sana sifa hata za kijinga. Hawawezi uongozi, angalia NCCR-Mageuzi, TLP, CHADEMA. Hakafu ving'ang'anizi hawatoki madarakani. Hovyo kabisa
Watu wa pwani kwa roho mbaya ndio maana mnaongoza kwa ushirikina
 
Shida ni kwamba baada ya miaka 20 hapa dar wazaramo tutakua tushafanikiwa kuwahamisha
 
Tunajali mdomoni tu lkn hatuwapendi watu wabara
Tungekuwa hatuwapendi tusingewauzia viwanja mjenge karibu na sisi,maisha ya kwetu ni pamoja na watu ndo maana nyumba zetu nje tuliweka vibarwza ili hata tukiwa tinakula mgeni akipita ajumuike,haya Mambo ya kujenga kuweka ukuta mmetuletea watu wa Bara!
 
Back
Top Bottom