Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
Msaniii Zuchu ameyalalamikiaMakampuni Ambayo ameyatuhumu kuwadharau Wanawake/ Wasanii Wa Kike Hasa Kwenye Upande Wa Malipo kwani anasema wao wamekuwa wakipewa hela ndogo
Ikumbukwe kwamba ni mwezi umepita watanzania walitangaziwa Zuchu ameingia mkataba mnono wa kulipwa hela nyingi sana na mtandao wa simu wa Zantel lakini kwa maandishi haya ni wazi yaliyokuwa yanasemwa Zuchu kulipwa hela nyingi ni uongo mtupu au pengine hela hizo hazijamfikia kabisa.
Maswali ya kujiuliza
Zuchu amezulumiwa vipi ikiwa ana mameneja wanao tajwa ni bora sana hapa Tanzania?
Zuchu aliposaini huo mkataba hakujua kuwa hela ni ndogo?
Zuchu ana uhakika gani kama mziki wake uan thamani mbele ya hao makampuni na wanaona itawalipa?
Mameneja wake walikuwa wapi hadi zuchu ana tapeliwa?
Zuchu Amesema haya na nukuu..
"Nasikitishwa Sana Na Baadhi Ya Watu/ Kampuni Ambao Tunafanya Nao Kazi, Ifike Muda Msanii Aheshimiwe Kwa Status Na Platfom Yake Inayotumika Kutangazia Kitu Fulani.
Hii Sio Favor Wala Sio Msaada, Tunafanya Kazi Kwa Makubaliano Basi Ifike Hatua Mjifunze Kuheshimu Wasanii...
Na Kinachonikera Zaidi Ni Kwamba Wanajua Umefanya Kazi Kubwa Ya Kushikilia Bango Kwa Kiasi Kikubwa Kuchangia Ushawishi Kwenye Matumizi Ya Kampuni Zao.
Watu Wengi/ MAKAMPUNI Mnadharau Sana Wanawake Kwenye Upande Wa Malipo, Respect A Woman Who Has Worked To Build Her Career/ Platform - Zuchu
Ikumbukwe kwamba ni mwezi umepita watanzania walitangaziwa Zuchu ameingia mkataba mnono wa kulipwa hela nyingi sana na mtandao wa simu wa Zantel lakini kwa maandishi haya ni wazi yaliyokuwa yanasemwa Zuchu kulipwa hela nyingi ni uongo mtupu au pengine hela hizo hazijamfikia kabisa.
Maswali ya kujiuliza
Zuchu amezulumiwa vipi ikiwa ana mameneja wanao tajwa ni bora sana hapa Tanzania?
Zuchu aliposaini huo mkataba hakujua kuwa hela ni ndogo?
Zuchu ana uhakika gani kama mziki wake uan thamani mbele ya hao makampuni na wanaona itawalipa?
Mameneja wake walikuwa wapi hadi zuchu ana tapeliwa?
Zuchu Amesema haya na nukuu..
"Nasikitishwa Sana Na Baadhi Ya Watu/ Kampuni Ambao Tunafanya Nao Kazi, Ifike Muda Msanii Aheshimiwe Kwa Status Na Platfom Yake Inayotumika Kutangazia Kitu Fulani.
Hii Sio Favor Wala Sio Msaada, Tunafanya Kazi Kwa Makubaliano Basi Ifike Hatua Mjifunze Kuheshimu Wasanii...
Na Kinachonikera Zaidi Ni Kwamba Wanajua Umefanya Kazi Kubwa Ya Kushikilia Bango Kwa Kiasi Kikubwa Kuchangia Ushawishi Kwenye Matumizi Ya Kampuni Zao.
Watu Wengi/ MAKAMPUNI Mnadharau Sana Wanawake Kwenye Upande Wa Malipo, Respect A Woman Who Has Worked To Build Her Career/ Platform - Zuchu