Pamoja na kuzungukwa na mameneja wengi bado Zuchu analalamika kutapeliwa na makampuni? Mameneja wake wanamzunguka?

Ukiwaamini hao wasanii utapotea tu hao wasanii ni wazee wa kuongeza sifuri kuna msanii mmoja nyumba aliyopanga ghalama yake ni laki mbili na nusu lakini kwenye mtandao anawambia wenzie analipa milioni tena kodi yenyewe Unga Unga mwana lakini anajitapa analipa kodi ya mwaka hawa sio wa kuwamini kabisa
Kwa hiyo amevumilia ameona aseme tuu
 
Ni wazi Zuchu katepeliwa na Ma meneja wake.........
ukipitia vzuri nyuzi zako zote hua ni against wcb sishangai hata hizi conclusion zako unazo ziweka hapa

 
naona humjui babu tale mkuu? .
Screenshot_20211009-131422.jpg
 
ukipitia vzuri nyuzi zako zote hua ni against wcb sishangai hata hizi conclusion zako unazo ziweka hapa

sasa na hili nalo zuchu kamsingizia au amesema mwenyewe?
Huna lolote na wewe chawa
 
Basi ni wazi kabisa walikuwa wanadanganya kusema mkataba wake na zantel alilipwa mapesa mengi
Ndio kumbe kalipwa pesa mbuzi Kaka yao diamond huko marekani kavaa nguo kanunua kwa chid mapenzi halafu huko insta akamkana jamaa.
 
Yani hawa mamaku wakishaona kingkiba katoa nyimbo au album basi wataanza kujipitisha mmoja mmoja kwenye media.
 
Yani hawa mamaku wakishaona kingkiba katoa nyimbo au album basi wataanza kujipitisha mmoja mmoja kwenye media.

sasa watu watashindwa kufaynya mambo yao kisa ALBUM ya kiba bdugu yangu? nyie mashabiki wa kiba mnadeka sana bana
 
Amefanya maamuzi ya kitoto sana hata kama Kuna ukweli juu ya swala hili ilibidi atumie busara kwenye kulisolve sio kwenda kwenye social media

Makampuni mengi yataanza kumuogopa kutokana na huo Uswahili aliofanya.

Inabidi elimu ianze kutolewa kwa hawa vijana wanaopata umaarufu wa haraka jinsi ya kulinda reputation yao na kupiga hela
The price of ignorance... elimu ina umuhimu wake, mwogope mtu anakuambia elimu haina umuhimu
 
Back
Top Bottom