Kwa hiyo amevumilia ameona aseme tuuUkiwaamini hao wasanii utapotea tu hao wasanii ni wazee wa kuongeza sifuri kuna msanii mmoja nyumba aliyopanga ghalama yake ni laki mbili na nusu lakini kwenye mtandao anawambia wenzie analipa milioni tena kodi yenyewe Unga Unga mwana lakini anajitapa analipa kodi ya mwaka hawa sio wa kuwamini kabisa
Leta uthibitisho wa hayo malalamiko unayosemeaKwani nani amelalamika?
Tafadhali fika kamuone daktari wa magonjwa ya akili
Ugonjwa wa akili sio dhambi, cha kufanya wahi ili uanzishiwe dozi ili tusije tukakupeleka milembe kabisa ili ukamezee dozi hukoZuchu pole
Ugonjwa wa akili sio dhambi, cha kufanya wahi ili uanzishiwe dozi ili tusije tukakupeleka milembe kabisa ili ukamezee dozi huko
ukipitia vzuri nyuzi zako zote hua ni against wcb sishangai hata hizi conclusion zako unazo ziweka hapaNi wazi Zuchu katepeliwa na Ma meneja wake.........
sasa na hili nalo zuchu kamsingizia au amesema mwenyewe?ukipitia vzuri nyuzi zako zote hua ni against wcb sishangai hata hizi conclusion zako unazo ziweka hapa
Msanii Zuchu ameshauriwa na nani kutoa wimbo huu wa Meja Kunta. Mashabiki tumepigwa hakika
Msanii Zuchu kaingia rasmi kwenye singeli baada ya kutamba na kibao cha sukari. Kwa habari nilizonazo huu wimbo aliyoimba na kuutoa leo ulikuwa wimbo wa Meja kunta na Msanii Zuchu kauziwa. Nimepata wasaha kuusikiliza wimbo husika ni wazi kabisa wamelipa hela za bure. Kwa level za wimbo wa...www.jamiiforums.com
Ndio kumbe kalipwa pesa mbuzi Kaka yao diamond huko marekani kavaa nguo kanunua kwa chid mapenzi halafu huko insta akamkana jamaa.Basi ni wazi kabisa walikuwa wanadanganya kusema mkataba wake na zantel alilipwa mapesa mengi
Mm nilijua ww ndo ZuchuKWA HIYO HAYO MALALAMIKO NI YA ZUCHU AU MIMI?
Yani hawa mamaku wakishaona kingkiba katoa nyimbo au album basi wataanza kujipitisha mmoja mmoja kwenye media.
toka umekakaza kameanza uswahiliSasa si kuna mkataba au? Hiki nacho kishaanza uswahili.
Diamond ndiyo anayewazulumu...
Wananaogopa tu kumtaja...pesa tamu bana umeona saa la milion 65 lile
The price of ignorance... elimu ina umuhimu wake, mwogope mtu anakuambia elimu haina umuhimuAmefanya maamuzi ya kitoto sana hata kama Kuna ukweli juu ya swala hili ilibidi atumie busara kwenye kulisolve sio kwenda kwenye social media
Makampuni mengi yataanza kumuogopa kutokana na huo Uswahili aliofanya.
Inabidi elimu ianze kutolewa kwa hawa vijana wanaopata umaarufu wa haraka jinsi ya kulinda reputation yao na kupiga hela