Nao hivo hivo wajinga tuHata wanawake wamo humo, una lipi la kuwaambia?
Nao hivo hivo wajinga tuHata wanawake wamo humo, una lipi la kuwaambia?
Kwani wewe hutaki maendeleo?Thubutu yake !
Wengi wanapewa sahani ya wali na maharage na fanta take away moja mojaHawa Jamaa walipanda kwenye malori hayo kwa hiari yao au kuna kitu wameahidiwa?? Nawaza tu Ndugu yangu Mtoa mada (Erythrocyte)
Mkuu wewe ni shida dah!!Wengi wanapewa sahani ya wali na maharage na fanta take away moja mojaView attachment 1129216
Maendeleo ya kujenga daraja kutoka Seaview kwenda Masaki badala ya 'madaraja' visiwa vya Ukerewe kwenye mahitaji halisi ya 'Wananchi'Kabisa kamanda. Tumuunge mkono na tumpe shime Rais wetu mpendwa kutuletea maendeleo
Aisee kama mang'ombe vileView attachment 1128211
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Hawa ccm sio wa kuangaika nao,ahadi zote zimewashika,wamekimbilia shimo la maji rufiji,eti nayo ni agenda ya ushindi,wanga Hawa.Polisi wamezuia mkutano wa Chadema usifanyike kwa hiyo mkutano haukufanyika!
alipata kuandika mshairi mmoja miaka ya 70, "... sukani sinikatikie, safari ingaliko mbele..." akanadi mshairi mwingine... "nyanyi ambiliwe muchu, asoishimu yiranyi!!!" Bado akaandika mwandikaji maarufu wa kusadikika na kufikirika achilia mbali adili na nduguze "UTU BUSARA, UJINGA HASARA"wamepewa na fanta take away mojamoja