kilimo cha pork
Member
- Jan 17, 2008
- 16
- 0
Nchi imeuzwa kwa wachache mwajiriwa ampa masharti mwajiri haijawahi tokea ila imepangwa ni mwaka wa EL na uchaguzi upo konani:drum:
Dr Rashid anafaa sana ila wanasiasa wasiingilie utendaji wake.
Kwani watanzania tunapenda sana kuchanganya siasa na mambo ya kitaalamu.
Hongera Doctor kaza buti
Dr Rashid ni mwizi
1. Ameiba fedha za rada
2. Ameifisadi Tanesco kwa njia mbalimbali kama ukarabati wa nyumba etc.